JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Afya

Wawili wapandikizwa uume Benjamini Mkapa

Wanaume wawili waliokuwa na matatizo ya  nguvu za kiume kutokana na matatizo mbali mbali ya kiafya, wamefanyiwa upasuaji na kupandikizwa uume katika Hospitali ya Benjamini Mkapa (BMH) kwa kushirikiana na Chama cha Madaktari Bingwa wa upasuaji wa mfumo wa mkoji…

Madaktari bingwa wa moyo JKCI watia fora Malawi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Madaktari bingwa wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), wamefanikiwa kuwapatia matibabu ya kibingwa wagonjwa zaidi ya 724 wa moyo nchini Malawi walikoweka kambi ya siku tano. Matibabu hayo yamefanikiwa chini ya uratibu wa Kamati…

Wizara yatoa mwenendo wa ugonjwa wa Marburg Kagera

You Might Also Like POLISI MAKAO MAKUU WAFANYA MAZOEZI YA KUIMARISHA AFYA KWA ASKARI

Serikali:Dawa za Tanzania ni bora na salama

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mfamasia Mkuu wa Serikali Daud Msasi amewahakikishia Watanzania kwamba dawa zinazozalishwa nchini zimethibitishwa na zina ubora unaostahili. Msasi ametoa kauli hiyo leo Aprili 6,2023 kwenye semina kwa wahariri wa habari nchini iliyoandaliwa na Bohari ya…

Mgonjwa wa Marburg aruhusiwa,hakuna maambukizi mapya

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema wamemruhusu mgonjwa mmoja (26) kati ya wagonjwa watatu waliolazwa katika vituo maalum vilivyotengwa kwaajili ya wagonjwa wa marburg baada ya kujiridhisha na hali yake kwa kumfanyia vipimo zaidi ya mara tatu vya ugonjwa huo….