Category: Afya
BADO HUJACHELEWA KUSEMA HAPANA KWA SIGARA
Kama ni mvutaji wa sigara, basi pia unapaswa kufahamu ni kwa kiasi gani uvutaji wa sigara ulivyo na madhara kwa afya yako. Nimejaribu kufanya utafiti mdogo ikiwa ni pamoja na kuongea na ‘wavutaji mahiri’ na asilimia 90 ya wavutaji, 45…
DAWA BANDIA TISHIO AFRIKA
NA MTANDAO Ongezeko la biashara ya dawa bandia limekuwa janga kubwa barani Afrika linalokua kwa kasi, huku ikiripotiwa kusababisha vifo vya watu wapatao 100,000 kwa mwaka. Utafiti uliofanywa na Shirika la Kimarekani linalojihusisha na dawa za magonjwa ya tropiki, limesema…
Vidonge vya Uzazi wa Mpango na `Hisia’ za Madhara Yake
Ni kweli, matumizi ya vidonge vya kupangilia uzazi yana madhara? Swali hili nimeulizwa mara nyingi sana na wasomaji wa JAMHURI. Hivyo, leo kupitia makala hii utapata fursa ya kujua kama njia hii ya vidonge vya kupangilia uzazi ina madhara au…
Dalili Hizi Zinaashiria Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI
Watu wengi wamekuwa ni waoga sana wa kupata vipimo vya ugonjwa kutokana na madhara ya kisaikolojia yanayojitokeza baada ya kujua kuhusu ugonjwa, wengi huamua kubaki kwenye hali ya sintofahamu. Kupitia dalili zifuatazo unaweza kupata mwanga kama umeambukizwa virusi vinvyosababisha ugonjwa…