Category: Makala
Mbeto: Haki ya wananchi kushiriki uchaguzi isiporwe na vyama vya siasa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesifu kupevuka kwa maono ya kisiasa yalioonyeshwa na Kiongozi wa ACT Wazalendo, Dorothy Semu ,aliyeitangazia dunia chama chake kitashiriki uchaguzi Mkuu oktoba mwaka huu bila longolongo. Pia CCM kimebaini kuwepo tofauti…
Mwarobaini uvuvi haramu huu hapa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Ni zama za sayansi na teknoojia. Ndio, teknolojia inapaswa kutumika katika kila eneo ilimradi tu kuleta ufanisi na kuboresha amaisha. Ni ukweli huu ndio umeifanya Wizara ya Mifugo na Uvuvi, kwa mara ya kwanza nchini,…
Salma Kikwete : Sikupata kura za itifaki, nilipambana bila kutishika
ALIKUWA Mwalimu na Mke wa Rais, lakini safari yake haikukamilika kwa kuwa mke wa Rais. Leo ni Mbunge wa Jimbo la Mchinga,mkoani Lindi akiongoza kwa mfano na dhamira ya dhati. Mama huyo, pia ni mwanasiasa ambaye ni mke wa Rais…
DeepSeek AI, mapinduzi katika teknolojia na wasiwasi wa Marekani
Katika miaka ya hivi karibuni, teknolojia ya akili bandia (AI) imepiga hatua kubwa, na mojawapo ya maendeleo makubwa ni kuzinduliwa kwa DeepSeek AI. Hili ni jukwaa la AI kutoka China ambalo limeleta mapinduzi katika sekta ya teknolojia kwa kutoa huduma…
ACT Wazalendo yaguswa kusitishwa kwa misaada ya afya na Serikali ya Marekani
ACT Wazalendo imeguswa na uamuzi wa Serikali ya Marekani kusitisha kwa muda kwa mikopo na ruzuku za kusaidia huduma za afya Duniani, hatua inayoweza kuathiri mamilioni ya Watanzania waliowekwa kwenye utegemezi wa huduma za afya zinazofadhiliwa na mashirika ya nje….
Lema amjibu Wenje, amuita muongo
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Aliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Godbless Lema, amejitokeza hadharani kutoa ufafanuzi kuhusu tuhuma dhidi yake zilizotolewa na Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Victoria, Ezekia Wenje kuhusiana…