JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

DeepSeek AI, mapinduzi katika teknolojia na wasiwasi wa Marekani

Katika miaka ya hivi karibuni, teknolojia ya akili bandia (AI) imepiga hatua kubwa, na mojawapo ya maendeleo makubwa ni kuzinduliwa kwa DeepSeek AI. Hili ni jukwaa la AI kutoka China ambalo limeleta mapinduzi katika sekta ya teknolojia kwa kutoa huduma…

ACT Wazalendo yaguswa kusitishwa kwa misaada ya afya na Serikali ya Marekani

ACT Wazalendo imeguswa na uamuzi wa Serikali ya Marekani kusitisha kwa muda kwa mikopo na ruzuku za kusaidia huduma za afya Duniani, hatua inayoweza kuathiri mamilioni ya Watanzania waliowekwa kwenye utegemezi wa huduma za afya zinazofadhiliwa na mashirika ya nje….

Lema amjibu Wenje, amuita muongo

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Aliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Godbless Lema, amejitokeza hadharani kutoa ufafanuzi kuhusu tuhuma dhidi yake zilizotolewa na Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Victoria, Ezekia Wenje kuhusiana…

Rais Samia tusaidie kukataa dizeli SGR, hongera Dk. Biteko TANESCO

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Leo katika makala hii, naomba, narudia, naomba sana niandike juu ya mambo mawili. Mambo haya ni treni yetu ya mwendokasi (SGR) na uzinduzi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa KV400 kutoka…

Profesa Janabi, shujaa wa afya atakayetufuta machozi ya Ndungulile

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ikiwa ni siku chache zimepita tangu aliyekuwa Mkurugenzi wa WHO Kanda ya Afrika, Dkt Faustine Ndugulile afariki dunia, jana Desemba 10, 2024 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametangaza…

Watoto vitani, kukabili mabadiliko ya tabianchi

Na Tatu Mohamed, JakhuriMedia WANAFUNZI na walimu katika Shule ya Msingi ya Kibondemaji iliyopo Mbagala, jijini Dar es Salaam wanachukua hatua za muda mfupi na za muda mrefu, kuzikabili athari za kimazingira katika shule hiyo, zinazoaminika kuwa matokeo mabadiliko ya…