Category: Siasa
Serikali ilipe madeni mifuko ya jamii
Tuwe makini kuelimisha wananchi Katiba Mpya
Tayari Bunge Maalumu la Katiba limepitisha rasimu ya Katiba inayopendekezwa.
Rasimu hiyo iko tayari kwa ajili ya kupelekwa kwa wananchi kupigiwa kura baada ya kupata akidi ya theluthi mbili iliyotakiwa kisheria kwa upande wa Tanzania Bara na Visiwani.
Wanaoiponda UDA wamekosa uzalendo
Tumetafakari kwa kina juu ya taarifa zinazolaumu “Serikali kubariki ufisadi wa UDA.” Lawama hizo hutolewa na Watanzania wachache sana wanaopinga Kampuni ya wazawa ya Simon Group kuuziwa hisa za UDA.
Hoja za msingi malalamiko hayo ni kwamba Simon Group haikufuata taratibu na sheria, na pia kwamba haikuzingatia thamani halisi ya shirika hilo. Tunachofahamu sisi kwa sasa ni kwamba uuzwaji huo uko sahihi na hakuna kinachoweza kubadilika, kwani taratibu na sheria zote zilizingatiwa kikamilifu wakati wa uuzaji wa hisa za UDA kwa Simon Group.
Ahsante TMF, Kazi ipo kwetu
Miongoni mwa habari zilizopamba gazeti hili leo ni taarifa ya Mfuko wa Vyombo vya Habari nchini (TMF), kutoa ruzuku ya Sh. bilioni 1.7 kwa vyombo vya habari 16.Awali ya yote tunaupongeza mfuko huo kwa namna inavyoratibu shughuli zake na…
UKAWA mwaweza kuchagua vita, amani
Kwa muda wa miaka mitatu nchi yetu imeshuhudia mnyukano wa mchakato wa kupata Katiba mpya. Mnyukano huu ulianza rasmi mwaka 2011 Rais Jakaya Kikwete alipotangaza kuandikwa kwa Katiba mpya. Tangazo la Rais Kikwete lilianzisha mchakato wa kutungwa kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, ambayo hatimaye imelifikisha taifa katika kupata rasimu.
Polisi iwadhibiti panya road
Wiki iliyopita kundi la vijana zaidi ya 20 linalojiita panya road, mbwa mwitu na mtoto wa mbwa, liliibuka upya na kuvamia, kupora mali na kushambulia watu kwa kutumia silaha za jadi zikiwamo panga jijini Dar es Salaam.
- Rais Dk Samia ashiriki kwenye hafla ya utoaji tuzo za wasanii wa komedi Tanzania
- STAMICO yapongezwa kwa maono na mafanikio makubwa
- RC Mtanda: Ucheleweshaji fidia unarudisha nyuma maendeleo yetu
- Mfuko wa Dunia Global Fund watembelea Bohari ya Dawa MSD
- Pwani kuzindua kampeni msaada wa kisheria ya Mama Samia Feb 24, 2025
Habari mpya
- Rais Dk Samia ashiriki kwenye hafla ya utoaji tuzo za wasanii wa komedi Tanzania
- STAMICO yapongezwa kwa maono na mafanikio makubwa
- RC Mtanda: Ucheleweshaji fidia unarudisha nyuma maendeleo yetu
- Mfuko wa Dunia Global Fund watembelea Bohari ya Dawa MSD
- Pwani kuzindua kampeni msaada wa kisheria ya Mama Samia Feb 24, 2025
- Rais Dk Samia akinywa kahawa wakati akiwahutubia wageni mbalimbali kwenye Mkutano wa Tatu wa Nchi zinazozalisha Kahawa Barani Afrika
- DAWASA yawatangazia fursa wenyeviti wa mitaa
- Tanzania yashinda uchaguzi kiti cha Bodi ya Mfuko wa Ubora wa Huduma wa Umoja wa Posta Duniani
- Rais Samia akinywa kahawa inayozalishwa Tanzania
- Rais Samia pamoja na viongozi mbalimbali wanaoshiriki Mkutano wa Tatu wa Nchi zinazozalisha Kahawa Afrika
- Rais Samia akitembelea mabanda ya maonesho ya kahawa kabla ya kushiriki mkutano
- Wataalam sekta ya utalii watakiwa kuleta maboresho
- Rais Samia ateua na kuhamisha viongozi mbalimbali
- Rais Samia atoa wito kwa wanawake waliobahatika kupata fursa elimu kufanyakazi kwa weledi
- Xavier- Watumishi wa Umma wazingatie maadili na kukumbatia teknolojia kuongeza ufanisi kazini