JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Kocha ‘rastafari’ aliyeibeba Senegal

*Miaka 20 tangu akose penalti fainali dhidi ya Cameroon Dakar, Senegal Aliou Cissé anasimama na kutazama pande zote za Stade du 26 Mars, moja ya viwanja vya soka vya Bamako nchini Mali, kisha anakimbia na kupiga penalti muhimu ya tano…

Siku Boban alipogomea mazoezi

London Na Ezekiel Kamwaga Hapo zamani za kale, Simba iliwahi kuwa na mchezaji aliyeitwa Haruna Moshi ‘Boban’. Ni miongoni mwa wachezaji wakubwa wa Tanzania niliowahi kuwashuhudia kwenye ubora wao. Akaenda Sweden kucheza Ligi Kuu. Riziki ikaisha, akarudi Tanzania kuchezea Simba….

Huku Simba, kule waamuzi

Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu Wiki iliyopita niliamka na vitu viwili kichwani mwangu. Kwanza, niliamka na kitu kinachoitwa Simba; kisha nikaamka na kitu kinachoitwa waamuzi wa soka waliopo sasa nchini Tanzania.  Leo ninajiuliza kati ya haya mawili tuanze na…

Kuna Edna, kisha makocha wetu

Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu Kuna mstari mwembamba umepita katika kutenganisha jina la Edna Lema na majina ya makocha wengine wa soka la wanawake nchini. Kimuonekano ni mstari mdogo. Ni mstari mdogo wenye changamoto. Ukiutazama juu juu unaweza kuuona…

Manungu Complex panafaa kwa ligi Morogoro

Na Mwandishi Wetu  Baada ya miaka 23 kupita, juzi Jumamosi tuliwaona Simba wakiwa katikati ya mashamba ya miwa yaliyopo Turiani, wakimenyana na ‘wakata miwa’ Mtibwa Sugar katika dimba la Manungu Complex, kisha kutoka sare ya bila kufungana.  Mchezo huo ulikuwa…

Thadeo, Katembo wateuliwa Kamati ya Uchaguzi SHIMIWI

DODOMA Na Mwandishi Wetu Aliyewahi kuwa Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Michezo kwenye Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Leonard Thadeo na Hakimu Mfawidhi (mstaafu) wa Mahakama ya Utete, Rufiji, Ally Katembo ni miongoni mwa wajumbe watano walioteuliwa kuunda kamati…