Category: Michezo
Ubingwa si kigezo kocha kubaki Yanga, Simba, Azam FC
Dar es Salaam Na Andrew Peter “Kocha mnabadili leo, baada ya miezi mitatu anakuja mwingine katikati ya msimu huo. Mnategemea mtafanikiwa vipi? Maana huyu timu bado hajaizoea, kaondoka, anakuja mwingine. Halafu mna mechi kubwa. Baadaye mkifungwa mnasema kumbe na huyu…
Ndoto ya ‘Simba Mo Arena’ imeyeyuka?
DAR ES SALAAM Na Andrew Peter “Ukiona mtu mzimaaa mamaa! Analia, mbele za watu ujue kuna jambo.” Sehemu ya kiitikio cha wimbo wa Msondo uitwao ‘Kilio cha Mtu Mzima.’ Tangu alipochukua jukumu la uenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu,…
Simba inakaba hadi kivuli
Yanga dk 90 bila shuti golini Na Andrew Peter Dar es Salaam Yanga imeweka rekodi mpya ikicheza dakika 90 bila kupiga shuti hata moja lililolenga goli wakati walipolazimishwa suluhu na watani wao Simba kwenye Uwanja wa Mkapa mwishoni mwa wiki….
UTAMU WA SIMBA, YANGA Mayele kutetema mbele ya Inonga?
DAR ES SALAAM Na Andrew Peter Mtetemo wa Mayele ndio ‘trendi’ ya jiji, mashabiki wa Yanga wanataka kuona, wale wa Simba hawataki. Hiki ndicho kitendawili kinachosubiri jibu Jumamosi hii wakati vinara wa Ligi Kuu watakapowakaribisha watani wao wa jadi, Simba,…
Yanga yasaka rekodi ya Simba kimyakimya
DAR ES SALAAM Na Andrew Peter Vinara wa Ligi Kuu, Yanga, wanaisaka kimyakimya rekodi iliyowekwa na Simba miaka 12 iliyopita ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu bila kufungwa. Rekodi hiyo ya Simba ipo hatarini kwa sasa wakati ambao Yanga wanaonekana…
Tumechagua kuishi kinafiki na Manula
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Umewahi kumshuhudia Aishi Manula akiwa na siku mbaya ofisini kwake, yaani katika lango la Simba au Taifa Stars? Kwa hakika huwa anatia huruma. Ngoma za masikio yake hupokea kila neno chafu kutoka kwa mashabiki….