Category: Michezo
Rais Samia: Afrika inahitaji kuongeza juhudi kuendeleza mpira wa miguu
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Bara la Afrika linahitaji kuongeza juhudi zaidi kwa kuongeza jitihada mbalimbali zitakazoendeleza mpira wa miguu. Kauli hiyo imetolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Agosti 10, 2022 alipomuwakilisha Mheshimiwa Rais Samia katika ufunguzi wa Mkutano…
FIFA kuendelea kuisaidia Tanzania,yaridhishwa na Rais Samia
Na John Mapepele,JamhuriMedia Rais wa Shirikisho la Soka Duniani(FIFA), Gianni Infantino, amesema FIFA itaendelea kuisaidia Tanzania kutokana na kuridhishwa na jitihada mbalimbali zinazofanywa na Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwenye michezo. Akizungumza usiku wa kuamkia leo Agosti 10,…
Balozi Asha-Rose Migiro atembelea kambi ya timu ya Tanzania
BALOZI wa Tanzania nchini Uingereza Dkt. Asha-Rose Migiro ametembelea kambi ya wanamichezo wa Tanzania wataoshiriki kwenye Michezo ya 22 ya Jumuiya ya Madola iliyopangwa kuanza Julai 28, 2022, na kuwatakia kila la heri kwenye michuano hiyo inayoshirikisha jumla ya nchi…
Manara afungiwa kujihusisha na soka
Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania leo Julai 21, 2022 imemfungia msemaji wa Yanga SC, Haji S.Manara kujihusisha na soka ndani na nje ya nchi kwa muda miaka miwili pamoja na kulipa faini ya sh.milioni 20….