Category: Michezo
Kikosi cha U23 kuingia kambini kesho
Kikosi cha timu ya taifa ya ya Vijana chini ya umri wa miaka 23 kitaingia kambini kesho kujiandaa na mchezo dhidi ya Nigeria kufuzu AFCON U23. Katika hatua nyingine, Tanzania imepangwa Kundi B pamoja na Uganda na Ethiopia katika mechi…
Serengeti Boys yatinga nusu fainali CECAFA
TIMU ya taifa ya Tanzania imefanikiwa kutinga Nusu Fainali ya michuano ya CECAFA U17 baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Somalia jana Uwanja wa Abebe Bikila Jijini Addis Ababa nchini Ethiopia. Mabao ya Serengeti Boys katika mchezo huo wa…
Simba yanusa hatua ya makundi Ligi Mabingwa, yashinda 3-1
Klabu ya Simba imefanikiwa kuinyuka timu ya Primeiro de Agosto Fc kwa mabao 3-1 mchezo ambao ulipigwa kwenye nchini Angola hivyo nakuwa na faida kwa Simba ambaye atasubiri kucheza mchezo wa marudiano ili aweze kufuzu hatua ya makundi. Simba Sc…
Kagera Sugar yazinduka, yaichapa Polisi 2-0
Timu ya Kagera Sugar imezinduka na kupata ushindi wa kwanza wa msimu baada ya kuichapa Polisi Tanzania mabao 2-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza. Mabao ya Kagera Sugar…
Yanga yalazimishwa sare na Al Hilal 1-1
Wenyeji, Yanga SC wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Al Hilal Omdurman ya Sudan katika mchezo wa kwanza wa Hatua ya 32 Bora Ligi ya Mabingwa Afrika leo Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. Yanga walitangulia kwa…