Category: Michezo
Simba yanyakua pointi tatu kwa Polisi
Klabu ya Simba imefanikiwa kuondoka na alama tatu mbele ya timu ya Polisi Tanzania baada ya kuichapa mabao 3-1 kwenye mchezo huo ambao ulichezwa kwenye dimba la Ushirika mjini Moshi. Kwenye mechi hiyo tumeshuhudia mshambuliaji wao Moses Phiri akiweka kambani…
Klabu ya Manchester United yatangaza kupigwa mnada
Klabu ya Machester United iko mbioni kupigwa mnada na kuwa chini ya mmiliki mpya mara baada ya wamiliki wa klabu hiyo ambao ni familia ya Glazers kukubali kuiuza. Kupitia taarifa iliyotolewa leo Novemba 23, 2022 kwenye tovuti rasmi ya Manchester…
FIFA yaweka zuio kuvaa kitambaa cha ‘One Love’ Kombe la Dunia Qatar,kinahamasisha ushoga
Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limepiga marufuku kitambaa cha “One Love” kwenye Kombe la Dunia 2022linaloendelea nchini Qatar. Kitambaa hicho ni sehemu ya hamasa inayotumiwa na wanasoka wengi Ulaya hususanimanahodha kuhamasisha mapenzi ya jinsia moja (ushoga) ambayo ni kinyume cha…
TRA, KCMC zapimana nguvu michuano ya SHIMUTA
………………………………………………………….. Timu za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),mabingwa watetezi kwa upande wa mpira wa miguu na Hospitali ya Rufaa KCMC ya Kilimanjaro zimetoshana nguvu baada ya kufungana bao 1-1, katika michuano ya Shimuta inayoendelea Jijini Tanga. Mchezo huo ambao umefanyika…
Kaze mkurugenzi mpya wa ufundi timu ya Vijana Yanga
Uongozi wa klabu ya Yanga umemteua Mrundi, Cedric Kaze kuwa Mkurugenzi wa Ufundi wa timu za vijana chini ya umri wa miaka 17 na 20 pamoja na timu ya Wanawake, Yanga Princess.
Unahisi ni nini kitakua cha tofauti katika Kombe la Dunia Qatar 2022?
Macho na masikio sasa yapo nchini Qatar wengi wakingoja kwa hamu na gamu kushuhudia michuano ya kombe la Dunia inayotarajiwa kuanza ifikapo Novemba 20, 2022 Kwa mara ya kwanza Kombe la Dunia linafanyika Mashariki ya Kati, nchini Qatar 2022, Michuano…