Category: Michezo
Timu za Afrika Mashariki kukutana kisiwani Pemba katika Kombe la Mapinduzi
Michuano ya Kombe la Mapinduzi, inafungua pazia leo visiwani Zanzibar, ambapo Kilimanjaro Stars kutoka Tanzania bara itakutana na timu ya taifa ya Zanzibar Heroes usiku wa leo, katika uwanja wa Gombani kisiwani Pemba. Timu nyingine zitakazoshiriki michuano hiyo ni Burkina…
NMB yadhamini Kombe la Mapinduzi 2025
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar BENKI ya NMB, imetangaza udhamini wa Sh. Milioni 50 wa michuano ya Kombe la Mapinduzi ya Zanzibar (Mapinduzi Cup 2025), inayotarajia kuanza Januari 03, 2025 kwenye Uwanja wa Gombani visiwani Pemba, ambayo itashirikisha timu za…
CAF yatupilia mbali malalamiko ya Guinea dhidi ya Taifa Stars
Kamati ya nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF), imetupilia mbali malalamiko ya timu ya taifa ya Guinea dhidi ya Taifa Stars ya Tanzania, yaliyowasilishwa na Shirikisho la Mpira la Guinea kuhusu uhalali wa mchezaji wa Tanzania,…
Nyabiyonza FC yaibuka kidedea dhidi ya Nyuki FC
📌 Dkt. Biteko ahimiza urafiki Nyabionza na Nyuki FC 📌 Mshindi wa kwanza aibuka na Milioni 6, wapili Milioni 4 Timu ya Nyabiyonza ya Karagwe mkoani Kagera imeibuka kidedea kwa kuifunga mabao mawili kwa moja timu ya Nyuki FC kutoka…