JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Ushirikiano wa Tanzania na Afrika Kusini kuimarika kupitia sekta ya utamaduni, sanaa na michezo

Ujumbe wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo ya Tanzania ukiongozwa na Katibu Mkuu Bw. Saidi Yakubu wamekutana na kufanya kikao cha pamoja na Wizara ya Michezo, Sanaa na Utamaduni ya Afrika Kusini na kubadilishana uzoefu ili kuboresha sekta hizo…

Wanamichezo wa JWTZ waibuka kidedea mashindano ya Majeshi Duniani

Na Immaculate Makilika, JamhuriMedia- MAELEZO Serikali imesema kuwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) imeshiriki katika michezo mbalimbali ndani na nje ya nchi ikiwemo mashindano ya Dunia ya Michezo ya Majeshi yaliyofanyika Ujerumani, mwezi Julai 2022, Michezo ya Jumuiya ya…

Tanzania kuomba kuwa mwenyeji wa Mashindano ya AFCON mwaka 2027

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan kwa kushirikiana na Kenya na Uganda kupitia Pamoja Bid wamedhamiria kuwa mwenyeji wa michuano ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (African Cup of Nations) 2027. Rais Samia amesema nchi…

Yanga yadhamiria kubeba makombe

Timu ya Yanga imedhamiria kuchukua makombe yote manne msimu huu baada ya kuichapa bao 1-0 Singida Big Stars na kutinga Fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) mchezo ambao ulipigwa kwenye uwanja wa Liti Mjini Singida. Yanga Sc wapo…

Yanga yaandika historia, yaibamiza Marumo Gallants 2-0

Klabu ya Yanga inefanikiwa kutinga Fainali Kombe la Shirikisho barani Afrika baada ya kufanikiwa kuondoka na ushindi wa mabao 2-1 (agg-4-1) dhidi ya timu ya Marumo Gallants ambapo mchezo wa mkondo wa kwanza Yanga akiwa nyumbani alipata ushindi wa mabao…

JKT Tanzania yapongezwa kurejea Ligi Kuu Tanzania Bara Msimu wa 2023/24

Na Mwandishi Wetu Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Saidi Yakubu, ameipongeza Klabu ya JKT Tanzania kwa kurejea kucheza Ligu Kuu Soka Tanzania Bara msimu mwaka 2023/2024 baada ya kumaliza vinara katika ligi Championship msimu 2022/2023. Yakubu…