JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

NMB ya kwanza kusajili usajli wanachamaa Yanga

Kwa kutambua umuhimu wa sekta ya michezo nchini, leo @nmbtanzania imeingia makubaliano na timu ya @yangasc na kuwa Benki ya kwanza nchini kuwawezesha mashabiki na wanachama wa Yanga kupata kadi za uanachama kupitia matawi yote ya NMB yaliyoenea nchi nzima….

Mloganzila yajipanga kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza kwa watumishi wake

Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila imezindua Mloganzila Afya Jogging Club kwa lengo la kuhamasisha watumishi kufanya mazoezi ili kuimarisha afya zao na kukabiliana na magonjwa yasiyo ambukiza. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Club hiyo kwa niaba ya Naiba Mkurugenzi Mtandaji,…

JK awapongeza Ali Kiba,Mbwana Samatta, awapa ushauri

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amewapongeza mwanasoka wa kulipwa wa kimataifa Mbwana Samatta na mwanamuziki nyota Ali Kiba kwa kuanzisha na kuendesha taasisi isiyo ya kiserikali ya SAMAKIBA Foundation ambayo kila mwaka imekuwa…

Baobab Queens kuwa timu ya wanawake ya Azam FC

Uongozi wa Azam FC umeingia makubaliano na timu ya mpira wa miguu ya wanawake kutoka Dodoma, Baobab Queens na rasmi itakua ni timu ya wanawake ya Azam FC. Azam wamefikia makubaliano hayo ili kutekeleza agizo la kikanuni la leseni za…

Taifa Stars yafufua matumaini AFCON 2023

Na Eleuteri Mangi, WUSM Dar es Salaam Timu ya soka ya Tanzania Taifa Stars imeicharaza timu ya Niger goli 1-0 na kufufua matumaini ya kufuzu michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2023 nchini Ivory Coast. Saimon Msuva mfungaji wa…

Tanzanite yaibuka ushindi wa vikapu 69-34 dhidi ya timu ya Taifa ya Eritrea

Na Brown Jonas Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamis Mwinjuma ameshuhudia Timu ya Taifa ya Mpira wa Kikapu (Tanzanite) ikiibuka na ushindi wa vikapu 69-34 vya Timu ya Taifa ya Eritrea. Mchezo huo wa ufunguzi wa kufuzu mashindano…