JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Wachezaji waliotemwa na kusajiliwa Simba

DIRISHA dogo la usajili limefungwa rasmi Januari 16, 2024 huku tukiwashuhudia vigogo Simba wakisajili mashine mpya na kuwaacha baadhi ya wachezaji wale wa kimataifa na kitaifa kwa maana ya wachezaji wa ndani. Simba ilifikisha idadi ya wachezaji 15 wakigeni jambo…

Kila la kheri Stars kesho

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kinatarajia kushuka dimbani kuvaana na timu ya taifa ya Morocco kesho Januari 17, 2024 huko nchini Ivory Coast katika michuano ya kombe la mataifa ya Afrika {…

Bil 3.7/- zachangwa kuziwezesha timu za Taifa, Rais Samia achangia mil.500/-

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Zaidi ya shilingi bilioni 3.7 zimechangwa ikiwa ni fedha taslimu na ahadi katika hafla ya kuzichangia timu za Taifa za Tanzania ambapo kati ya hizo Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amechangia shilingi milioni…

Dk Biteko ashiriki Rombo Marathon, apongeza ubunifu wake

📌Apongeza nia ya Marathon kuhifadhi Mazingira, kuimarisha huduma za kijamii 📌Asema Serikali itaendelea kuunga mkono juhudi zinazoanzishwa na wananchi kujiletea maendeleo na kukuza Utalii Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko…

Ligi Uturuki yasitishwa baada ya rais wa klabu kumpiga ngumi refa

Kiongozi wa mchezo wa kandanda nchini Uturuki wamesimamisha ligi zote baada ya refa kupigwa ngumi na rais wa klabu kufuatia mchezo wa ligi kuu siku ya Jumatatu. Halil Umut Meler alipigwa na rais wa mke Ankaragucu, Faruk Koca, ambaye alikimbia…

Kamati ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo yapokea na kujadili taarifa ya michezo

Na Eleuteri Mangi, WUSM Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo imepokea na kujadili taarifa ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya sekta ya michezo ambayo imewasilishwa na Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo leo Oktoba 23, 2023…