Category: Michezo
Thiago Silva amwaga machozi akiagwa Chelsea
Na Isri Mohamed Beki wa kati wa Brazil, Thiago Emiliano Da Silva, ameagwa rasmi na klabu na wachezaji wenzake usiku wa kuamkia leo, mara baada ya mkataba wake kumalizika na kutoongeza kandarasi ya kusalia klabuni hapo. Silva ambaye amedumu Chelsea…
Majaliwa : Michezo nyenzo muhimu inayodumisha amani
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema ushirikiano katika michezo ni nyenzo muhimu katika kudumisha diplomasia na amani miongoni mwa nchi washirika wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM). Amesema hayo leo (Ijumaa, Mei 17, 2024) wakati akifunga Mkutano wa 79…
Mabalozi wa Afrika Tanzania kushiriki mbio za Marathon Mei 18,2024
Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia, Dar es Salaam Mabalozi wa Nchi za Afrika nchini Tanzania wanatarajia kushiriki mbio za riadha kuanzia kilomita 5 hadi 15 zitakazofanyika Mei 18 ,2024 Ameyasema hayo leo Mei 15, 2024 Jijini Dar es Salaam Mkurugenzi Mawasiliano Wizara…
Yanga kutangazwa mabingwa wa 30 leo kama atamfunga Mtibwa
Na Isri Mohamed Klabu ya soka ya Yanga leo inatarajia kushuka dimbani Manungu Complex Turiani mkoani Morogoro kuumana na Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ambao kama wananchi watafanikiwa kuvuna alama tatu basi watatangazwa rasmi kuwa mabingwa kwa mara…
Waziri Mkuu Majaliwa azindua mbio za hiyari Coco beach Dar
-Atangaza rasmi kampeni ya mbio za hiyari ni ya nchi nzima -Awataka wakazi wa DSM kuendelea kufanya mazoezi ya hiyari kila Jumamosi kuanzia saa 12:00 Asubuhi hadi saa 3:00 Asubuhi Na Mwandishi Wetu, JammhuriMedia, Dar es Salaam Waziri Mkuu wa…
Lameck Lawi afutiwa kadi nyekundu aliyopewa dhidi ya Yanga
Na Isri Mohamed Beki wa Coastal Union Lameck Lawi amefutiwa adhabu ya kadi nyekundu aliyoonyeshwa na mwamuzi wa mchezo dhidi ya Yanga Sc baada ya kuthibitika kuwa mwamuzi huyo wa kati pamoja na mwamuzi msaidizi namba mbili kushindwa kutafsiri vyema…