JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Tanzania, Ivory Coast zaingia makubaliano ya ushirikiano kwenye sekta ya michezo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imeingia makubaliano ya ushirikiano na Wizara ya Michezo ya Ivory coast katika masuala mbalimbali ya uendelezaji wa Sekta ya michezo. Makubaliano hayo yameingiwa leo Aprili 21, 2024…

Naibu Waziri Katambi afungua michezo ya Mei Mosi Arusha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe Patrobas Katambi amefungua rasmi michezo ya Mei Mosi na kueleza umuhimu wa michezo hiyo katika kuimarisha afya za wafanyakazi. “Michezo ni…

Serikali kuendelea kudhibiti athari za michezo ya kubahatisha

Na Farida Ramadhani, WF – Dodoma Serikali kupitia Bodi ya Michezo ya Kubahatisha nchini inaendelea kutekeleza mikakati mbalimbali ya kuzuia na kudhibiti athari za michezo ya kubahatisha ili kuhakikisha jamii inakuwa salama. Hayo yameelezwa Bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri…

Isanzu, Kadio wang’ara fainali michuano ya gofu kumuenzi Lina

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Mcheza gofu wa ridhaa kutoka klabu ya TPC mkoani Kilimanjaro, Ally Isanzu na mcheza gofu wa kulipwa kutoka Dar es Salaam, Hassan Kadio wameibuka vinara wa raundi ya pili ya michuano ya gofu ya Lina…

Kariakoo Derby ni ‘ Wazee Day’ Jumamosi

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar Kuelekea mchezo wa Derby ya Kariakoo kati ya Yanga na Simba Jumamosi hii, Afisa habari wa klabu hiyo, Ali Kamwe ametangaza mchezo huo kuwa ni maalum kwa Wazee wote wa Yanga. Akizungumza na wanahabari leo,…

Bunge Marathon yafana Dodoma

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Dkt. Tulia Acksonamezindua mbio za Bunge Marathon leo Aprili 13,2024 katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma lengo ni kukusanya fedha…