JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Patrick Ausems ‘Uchebe’ kocha mpya Singida Black Stars

Na Isri Mohamed Klabu ya soka ya Ihefu (Singida Black Stars) imeutangazia uma kuwa imefikia makubaliano na kocha Patrick Aussems raia wa Ubelgiji kuwa kocha wao mkuu kwa msimu unaofuata wa 2024/25. Taarifa ya klabu hiyo inaeleza kuwa kocha huyo…

Try Again amgomea Moo Dewji kujiuzulu uenyekiti Simba

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwekezaji na Rais wa heshima wa klabu ya Simba, Mohamed Dewji amewapigia simu wajumbe wa upande wake akiwataka waandike barua za kujiuzulu kwa lengo la kuunda safu mpya ya uongozi. Baada ya wajumbe…

John Bocco: Shuja anayeishi, rekodi yake haitasahaulika

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Siku moja ukipata nafasi ya kukaa na mjukuu wako kupiga nae stori ya mashujaa wa soka la Tanzania basi usiache kumuelezea kuhusu John Raphael Bocco, ambaye jana amestaafu rasmi kuutumikia mpira kama mchezaji…

Leo ni kivumbi na jasho, nafasi ya pili, mfungaji bora

na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Pazia la Ligi Kuu ya NBC Tanzania bara linafungwa rasmi leo Mei 28, 2024 huku kukiwa na vita tatu kubwa za kushindaniwa ikiwa ni pamoja na mbio za nafasi ya pili, mbio za…

COREFA yakabidhi mipira 1,000 itakayochagiza kuinua michezo kwa shule za Pwani

Na Mwamvua Mwinyi , JamhuriMedia, Pwani Uwepo wa vifaa mbalimbali vya michezo katika shule mbalimbali utasaidia kuchagiza kuendelea kwa somo la michezo sanjali na kuibua vipaji vichanga mashuleni. Akipokea vifaa vya michezo-mipira 1,000 iliyokabidhiwa na Chama Cha Soka mkoani Pwani,…

Samatta atwaa ubingwa Ligi Kuu Ugiriki

ATHENS, Ugiriki: Nahodha wa @taifastars_ Mbwana Samatta @samagoal77 ametwaa Ubingwa wa Ligi Kuu ya Ugiriki Msimu wa 2023/24. Hilo ni taji la kwanza kwa Samatta nchini humo tangu ajiunge na Paok FC mnamo Agosti 2022, baada ya kuondoka Aston Villa…