JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Serikali yaongeza bajeti ya michezo, yapiga hatua kubwa uendelezaji michezo nchini

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Neema Msitha, amefichua kuwa Serikali ya Awamu ya Sita imeiongezea Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo bajeti kutoka shilingi bilioni 35.44 mwaka wa fedha 2021/2022…

Uwanja wa AFCON Arusha wafikia asilimia 25

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema ujenzi wa Uwanja wa Michezo wa Arusha unaotarajiwa kutumika kwa ajili ya mashindano ya Fainali za AFCON 2027 umefikia asilimia 25 za…

Majaliwa: Tanzania imejipanga maandalizi CHAN, AFCON

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imejipanga vyema kukamilisha maandalizi yote muhimu ikiwemo miundombinu kwa ajili ya Fainali za Ubingwa wa Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) na Kombe la Mataifa ya Afrika(AFCON). “Tanzania imejipanga vizuri, kuhakikisha kuwa michuano hii…

Sheikh Alhadi Mussa azindua Wanawake Laki moja Cup Temeke

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Temeke JUMUIYA ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT) kupitia kwa Mwenyekiti wake Taifa, Sheikh Dkt. Alhadi Mussa Salum ameipongeza Taasisi binafsi ya Wanawake Laki Moja kwa kudhamini Tamasha Ligi ya Wanawake yenye kauli mbiu: ‘Cheza kama…

Pugu Marathon 2025 awamu ya Tatu Kufanyika Mei 31, mwaka huu

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam ASKOFU Msaidizi wa Jimbo kuu la Dar es Salaam Mhashamu Stephano Musomba ametoa wito kwa jamii kujitokeza kwa wingi na kuhakikisha wanajiandikisha kushiriki Pugu Marathon 2025 itakayofanyika Mei 31, 2025 katika viwanja vya…

Simba njia nyeupe

 SIMBA imeendelea kuthibitisha ni somo katika michuano ya kimaaifa baada ya leo kuifunga CS Constantine ya Algeria mabao 2-0 mchezo wa Kombe la Shirikisho Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Matokeo hayo yameifanya Simba ambayo tayari ilishafuzu robo fainali,…