Category: Michezo
Mashindano ya Gofu ya kumuenzi Lina Nkya kuendelea leo Arusha
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Baada ya Morogoro mwezi Aprili mwaka huu sasa ni zamu ya Arusha katika viwanja vya Gymkana ambapo mashindano ya Gofu kwa ajili ya kumuenzi mchezaji wa zamanı wa timu ya taifa ya wanawake…
Mchezaji wa zamani wa Klabu ya Simba John Bocco kuichezea JKT
Na Magrethy Katengu–Jamuhuri media Dar es salaam JKT Tanzania Wamesajili wachezaji akiwemo aliyechezea zamani wa klabu ya Simba John Raphael Bocco kwani alikuwa huru na wanaimani kupitia kiwango chake timu itafika mahali pazuri kwa kupata kombe au kuwa katika nafasi…
Aziz Ki bado yupo sana kwa wananchi
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam BAADA ya gumzo la muda mrefu kila mmoja kiazungumza lake, hatimaye Klabu ya Yanga leo Julai 10, 2024 imethibitisha rasmi kuwa mchezaji wao Aziz Ki bado ataendelea kusalia klabuni kwako. Baada tu ya…
John Bocco atambulishwa JKT Tanzania
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Aliyekuwa mshambuliaji wa Simba, John Bocco ametambulishwa kuwa mshambuliaji wa Klabu ya JKT Tanzania. Bocco ambaye ndiye kinara wa mabao katika Ligi Kuu ya Tanzania tayari ameshaanza mazoezi na klabu yake mpya tayari…
Kocha Rhulan Mokwena wa Mamelod kutua Wydad
Na Isri Mohamed Aliyekuwa kocha wa klabu ya Mamelod Sundowns ya Afrika Kusini, Rhulan Mokwena anatarajiwa kutambulishwa kuwa Kocha mkuu wa Wydad Athletic Club ya nchini Morocco. Kocha Rhulan ambaye anakwenda kuchukua mikoba ya Aziz Ben Askar, tayari ameshatua nchini…
Luis Miqquisone atimkia Songo
Isri Mohamed Siku chache baada ya kutemwa na wekundu wa Msimbazi, aliyekuwa Winga wa Simba, Luis Miquissone amerejea kwenye klabu yake ya zamani ya UD do Songo kwa ajili ya msimu ujao wa 2024/25. Miquissone amerejea UD do Songo baada…