Category: Michezo
Shindano la kriket kufuzu Kombe la Dunia kufanyika Septemba 20
Na Lookman Miraji, JamhuriMedia,Dar es Salaam Michuano ya kimataifa ya mchezo wa kricket katika kampeni ya kufuzu kombe la dunia kwa upande wa mchezo wa kricket yanatarajiwa kuanza kutimua vumbi nchini kuanzia Septemba 20, mwaka huu. Mashindano hayo yatafanyika nchini…
Azam FC wamtimua kocha Dabo na wasaidizi wake
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KLABU ya Azam FC leo Septemba 03, imetangaza kuwafungashia virago Kocha wao Mkuu, Youssouph Dabo na wasaidizi wake wa benchi la ufundi aliokuja nao kufuatia matokeo mabaya ya timu. Azam FC chini ya…
Israel Mwenda : Kwa kifupi sina timu
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam ALIYEKUWA beki wa Simba msimu uliopita, Israel Patrick Mwenda, ambaye msimu huu amesajiliwa na klabu ya Singida Black Stars ameibuka na kudai kuwa kwa sasa hana timu licha ya kudaiwa kupokea ada ya…
Ligi ya Kihenzile Cup yazinduliwa
Mbuge wa Jimbo la Mufundi Kusini na Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile kwa kushirikiana na Taasisi ya Kihenzile Foundations amezindua Ligi ya Kihenzile Cup yenye lengo la kuhamasisha vijana kushiriki katika michezo sambamba na kutoa elimu ya kupiga kura…
Breaking News; Mzee Magoma ashindwa kesi, atakiwa kulipa faini
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAHAKAMA ya Hakimu mkazi Kisutu imetengua hukumu waliyoitoa ya kuwataka viongozi wa Yanga wakiongozwa na Rais Injinia Hersi Said kung’oka madarakani. Hukumu hiyo ilitolewa baada ya wanachama kadhaa wa Yanga wakiongozwa na Mzee…
Mwanariadha akabidhiwa bendera ya Taifa CRDB Marathon
Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Chato SERIKALI imemkabidhi bendera ya taifa mwanariadha, Imelda Mfungo,ambaye ataiwakilisha nchi katika mashindano ya CRDB Marathon nchini Burundi. Mwanariadha huyo ambaye amepata fursa ya kushiriki mashindano hayo ambayo yameandaliwa kwa mara ya kwanza na Benki ya…