JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Kapinga ashuhudia fainali Doto Cup 2024

Naibu Waziri Nishati, Judith Kapinga Septemba 17, 2024 ameshuhudia fainali ya mashindano ya Doto Cup 2024 ambapo mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa. Mashindano hayo yameandaliwa na Naibu waziri Mkuu na Waziri wa Nishati ambaye ni Mbunge wa…

Mashindano KNK Cup 2024 yahitimishwa, mabingwa wa Bukombe, Karagwe kuchuana

📌 Mshindi wa Kwanza anyakua kitita cha milioni 5 📌 Simba, Yanga Wateka Vijana wenye Vipaji Mashindano ya KNK CUP 2024 yaliyoandaliwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Mhe .Dkt….

Mashindano ya kuogelea kitaifa yafana Dar

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mashindano ya kitaifa ya wazi kwa mchezo wa kuogelea yamehitimika rasmi kwa kishindo Jumapili ya Septemba 15, 2024 katika bwawa la shule ya kimataifa ya Tanganyika iliyoko mlMasaki, Dar es Salaam. Mashindano hayo…

JWTZ waibuka mshindi wa jumla mashindano ya BAMMATA

Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania Luteni Jenerali Salum Haji Othuman amemuwakilisha Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda kuwaongoza Wakuu wa Vyombo Vya Ulinzi na Usalama kufunga mashindano ya Baraza la Michezo ya…

Sakata la Yusuph Kagoma lafika pabaya

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam UONGOZI wa klabu ya Yanga umetoa maombi matatu kwa kamati ya TFF ya maadili na hadhi ya wachezaji kufuatia sakata la mchezaji wao Yusuph Kagoma ambaye anaendelea kucheza klabu ya Simba kinyume na…

Rais Samia mgeni rasmi Tamasha la Utamaduni Songea

Rais Dk Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Tamasha la Tatu la Utamaduni ambalo litafanyika kwa siku nne kuanzia Septemba 20 hadi 23, 2024 wilayani Songea Mkoani Ruvuma. Akizungumza katika mkutano wake na waandishi wa habari Jijini Dodoma…