JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Makocha hawa Wazungu kunogesha Ligi Kuu Bara

Pazia la Ligi Kuu ya Vodacom nchini linatarajiwa kufunguliwa rasmi Agosti 22, mwaka huu kwa mechi ya Ngao ya Hisani kati ya Azam na Yanga, na Septemba 12 ndiyo mechi za msimu wa Ligi 2015/2016 zitaanza rasmi. Mabadiliko mengi yamefanyika…

Arsenal, Azam zimeweza, sasa zamu ya Taifa Stars

Jumapili Agosti 3, mwaka huu, ilikuwa ni siku ya kuvunja rekodi na pengine kumaliza ubishi uliodumu kwa muda mrefu. Timu ya soka ya Azam maarufu kama Wanalambalamba walibeba Kombe la Kagame bila kupoteza mchezo.  Kadhalika, bila kuruhusu bao hata moja…

Haya ndiyo maajabu ya ‘fair play’ kwenye soka

Mashabiki 114,580 walishuhudia Ali Bin Nasser kutoka Tunisia akirudi katikati ya dimba baada ya kupuliza filimbi katika dakika ya 51 kwenye Uwanja wa Azteca Juni 22, 1986 nchini Mexico, katika mchezo wa robo fainali Kombe la Dunia kuruhusu bao la…

Kwaheri De Gea, karibu Mkwasa

Ni mkono wa kwa heri kila kona; huku tunaagana na Mart Nooij kule katika Jiji la Manchester, ambalo linakuwa na anga nyekundu mara bluu, kuna kuagana na David De Gea. Presha imekuwa kubwa na haizuiliki tena watu kurudi katika asili…

Ya TFF na Mayweather

Ilikuwa ni mkesha wa hiari kusubiri pambano la masumbwi kati ya Mmarekani Floyd Mayweather na Manny Pacquiao lililoacha gumzo kwenye ulingo mmoja maarufu pale Las Vegas, Marekani. Wapo waliolala kwa mang’ang’amu kusubiri pambano hilo na wengine kukesha. Kulikuwa na mabishano…

Messi wa Simba kortini, Messi wa Barca dimbani

Ninapotazama soka hapa nchini, nawaona wachezaji wetu ni kama yatima kutokana na mfumo wa ukuzaji wa vipaji wa nchi, kadhalika ni wa kujitakia. Kuna kitu kikubwa wachezaji wetu wanachokosa, wamekuwa ni watu wanaojipa majukumu mazito kwa kutokujua au ubinafsi tu. Mchezaji…