Category: Michezo
Wadau waombwa kusaidia mchezo wa kuogelea
Wadau na wapenzi wa mchezo wa kuogelea nchini, wameombwa kutoa michango yao ya hali na mali kuhakikisha mchezo huo unapiga hatau kwa manufaa ya Taifa pamoja na changamoto zilizopo ikiwamo uhaba wa vitendea kazi. Akizungumza na JAMHURI wakati wa kufunga…
Magufuli ajiita Sizonje
Umewahi kukaa na kutafakari mashairi ya wimbo wa Mrisho Mpoto uitwao Sizonje? Umewahi kuhisi anayeimbwa katika mashairi ya wimbo huo ni nani? JAMHURI imegundua kwamba Sizonje ni Rais John Magufuli, huku akikiri kwa kinywa chake, mbele ya wahariri pamoja na…
Profesa Jay awafunda wasanii
Wasanii wa muziki wa kizazi kipya wametakiwa kutumia nguvu kubwa kuimba nyimbo zenye ujumbe wa kuhamasisha mambo mema katika jamii na kuacha kuimba mapenzi, kwani kufanya hivyo itawasaidia nyimbo zao kudumu kwa muda mrefu sokoni. JAMHURI imefanya mahojiano maalamu na…
Tuwalee Serengeti Boys
Kwa mara nyingine tena timu ya Taifa ya Tanzania chini ya miaka 17, Serengeti Boys, imeshindwa kupata nafasi ya kushiriki katika fainali za Mataifa ya Afrika zinazotarajiwa kufanyika mwakani nchini Madagascar. Hii ni historia nyingine mbaya kwa wadau wa soka Tanzania…
Viongozi wa michezo, leteni mabadiliko
Wadau wa michezo hapa nchini, wametakiwa kuacha tabia ya kutoa pongezi pale timu inapofanya vizuri, badala yake waje na mbinu pamoja na mikakati ya kuhakikisha Tanzania inarudisha makali yake katika michezo ndani na nje ya nchi. Akizungumza na JAMHURI wiki…
Michezo haihitaji siasa
Wadau wa mchezo wa riadha nchini wameombwa kuja na mbinu mbadala kama kweli wana nia ya dhati ya kufufua mchezo huo kutoka ngazi ya shule za msingi, sekondari hadi vyuo vikuu kuliko kuwaachia wanasiasa wasiokuwa na ufahamu wa michezo. Wakizungumza…