Category: Michezo
EPL kuwakosa wachezaji 26
Wakati baadhi ya mataifa yakijiandaa na Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), baadhi ya ligi za barani Ulaya zitawakosa nyota wake wanaotoka barani Afrika. Ligi ya Uingereza pekee itawakosa wachezaji 26. Fainali hizo za AFCON zitaanza kutimua vumbi…
Viwanja kaburi la soka
Soka la Tanzania litaendelea kushuka endapo juhudi za makusudi hazitafanyika na mamlaka husika kurudisha viwanja vyote vya michezo vinavyotumika kinyume na taratibu. Wakizungumza na JAMHURI kwa nyakati tofauti, wadau wa soka, wanasema japokuwa soka la Tanzania linakabiliwa na changamoto nyingi,…
Waamuzi soka wajengewe uwezo
Soka la Tanzania linakabiliwa na changamoto kadhaa ikiwamo tatizo la waamuzi ambalo limekuwa likilalamikiwa na wadau na wanachama wa klabu zinazoshiriki Ligi kuu ya Tanzania Bara. Wakizungumza na JAMHURI kwa nyakati tofauti mara baada ya kuhitimu mafunzo ya muda mfupi…
Ajali yateketeza kikosi
Wiki iliyopita familia ya soka duniani imepata pigo, baada ajali ya ndege iliyosababisha vifo vya watu 81, wakiwamo wachezaji wa klabu ya Chopecoense ya nchini Brazil na kuacha simanzi kubwa Ndege iliyokuwa imebeba timu ya soka ya Brazil ilianguka wakati…
Benteke aweka rekodi
Mshambuliaji wa Crystal Palace, Christian Benteke, ameweka historia mpya kwa kufunga bao sekunde ya 7, baada mchezo kuanza wakati Ubelgiji ikicheza dhidi ya Gibraltar, katika kuwania kushiriki fainali za Kombe la Dunia, Urusi 2018. Wakati Benkete aliweka rekodi hiyo baada…
Kusini mwa Afrika, watamba tuzo za Afrika
Miaka mingi iliyopita wapenzi wa soka walizoea kuona kila aina ya tuzo katika mchezo wa soka ikichukuliwa na wachezaji kutoka ukanda wa nchi za Afrika Magharibi, hali ambayo imeanza kubadilika katika siku za hivi karibuni. Hali hiyo imejidhihirisha katika kinyang’anyiro cha…