JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Michezo chanzo kikuu ajira

NA MICHAEL SARUNGI Serikali inaandaa mikakati mahsusi ya kuhakikisha sekta ya michezo nchini inakuwa moja ya vyanzo vya ajira na mapato kwa vijana. Akizungumza na JAMHURI baada ya kukabidhi bendera kwa Timu ya Taifa ya Riadha inayoshiriki mashindano ya riadha…

SportPesa kudhamini michezo mingine zaidi

Kampuni ya SportPesa Tanzania, inakamilisha mipango itakayowezesha kupanua wigo wa uwekezaji wake nchini kwa kugeukia michezo mingine, lengo ikiwa ni kuwapa nafasi vijana wengi zaidi kushiriki katika sekta ya michezo, huku ikisisitiza ushirikiano na Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF)….

Lazima tuwe tayari kujifunza

Ujio wa Klabu ya Everton na juhudi za Serikali za kurudisha michezo mashuleni hauwezi kuwa na maana kama viongozi wa michezo hawatakuwa na mipango madhubuti na kuwa tayari kujifunza toka katika nchi ambazo zipo juu kisoka. Wakizungumza na JAMHURI kuhusu…

Cosafa yaipaisha Stars

Kiwango kizuri kilichooneshwa na Taifa Stars katika mashindano ya COSAFA kwa kuifunga Bafana Bafana na kuiondoa mashindanoni, kumeisaidia kupanda katika viwango vya FIFA vya mwezi Juni mwaka huu kutoka 139 hadi 114. Stars imeshika nafasi ya 30 kwa Afrika huku…

Tukatae mamluki soka

Kuvamiwa kwa mchezo wa soka na mamluki katika ngazi ya klabu na timu za taifa ni miongoni mwa sababu zinazochangia kudorora kwa mchezo huo nchini. Akizungumza na JAMHURI, mchezaji wa zamani wa Klabu ya Yanga na timu ya Taifa ya Tanzania,…

Ujio wa Everton ni fursa

Tanzania imeendelea kunufaika kiuchumi na ujio wa baadhi ya wachezaji wanaokuja kupumzika baada ya kukamilika kwa ligi katika nchi hizo. Wachezaji hao ambao wengi wanatoka katika Ligi Kuu ya Uingereza wamekuja nchini kwa mapumziko ya msimu baada ya kumalizika kwa…