Category: Michezo
Urusi Yapigwa Kitanzi Kushiriki Michuano ya Olimpiki 2018
Kamati ya kimataifa ya Olimpiki, imeifungia nchi ya urusi kushiriki michezo ya Olimpiki ya majira ya baridi itayofanyika katika jiji la Pyeongchang nchini Korea kusini mwakani. Rais wa IOC Thomas Bach na bodi yake walitangaza adhabu hiyo jana jioni baada…
SOKA: Wabunge wa Tanzania Wamewatandika Wabunge wa Burundi
KATIKA Michuano ya East Africa Parliamentary Games inayoshirikisha Vilabu vya Mabunge ya nchi za Afrika Mashariki, mechi iliyopigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Timu ya mpira wa miguu Bunge la Tanzania jana iliibuka na ushindi wa…
Hii Hapa Ratiba ya Kombe la FA, Liverpool Uso kwa Uso na Everton
Ratiba ya raundi ya tatu ya michuano ya kombe la Fa, imetangazwa na michezo hiyo itachezwa wikiendi ya januari 6 na 7 mwaka 2018 Liverpool wataanza michuano hiyo kwa kuchuana na wapinzani wao wa jadi Everton, huku bingwa mtetezi Arsenal…
Majaliwa Awataka Wabunge wa EAC Kutumia Michezo Kuimarisha Ushirikiano
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wabunge wanaoshiriki mashindano ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki wayatumie kuimarisha ushirikiano. Ametoa kauli hiyo leo (Jumatatu, Desemba 4, 2017) wakati akifungua mechi ya mpira wa miguu iliyozikutanisha timu za Tanzania na Burundi…
Waziri Mkuu Apokea Vifaa Vya Mashindano Ya Majimbo
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amepokea vifaa vya michezo vyenye thamani ya sh. milioni 50 kwa ajili ya kuanzisha mashindano ya mpira wa miguu kwa majimbo ya mkoa wa Dar es Salaam. Vifaa hivyo vimetolewa na Muwakilishi wa Jimbo…
Tetesi za usajili Ulaya
Baada ya kukamilika kwa usajili wa Neymar kutoka Barcelona kwenda PSG, kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Javier Pastore, amempa Neymar jezi namba 10 akisema ni shukrani yake kwake ajisikie kuwa nyumbani (tovuti ya PSG). Naye Meneja wa Real Madrid, Zinedine…