JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Soka letu na hekima ya Maguri Taifa Stars

Unapozungumza suala la soka hapa nchini kwa wiki hii bila kuitaja timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), bado unakuwa hujaeleza kile kilichotawala vichwa vya wanamichezo. Pamoja kipigo cha Taifa Stars cha mabao 7-0 bado kuna hekima ya kujifunza kutoka…

Kwani Simba mna kiasi gani?

Uungwana ni vitendo na uungwana huo huthibitika pale ukweli halisi unaposemwa bayana badala ya kukwepakwepa na kutafuta visingizio. Katika misimu mitatu mfululizo, mwenendo wa Wekundu wa Msimbazi Simba Sports Club ya Dar es Salaam katika Ligi Kuu umekuwa si mzuri….

Usiyoyajua kuhusu CR7

Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno na Klabu ya Real Madrid ya Hispania, Cristiano Ronaldo, amejinasibu kuwa yeye ni mchezaji bora ulimwenguni. Ronaldo au CR7 aliyepata kuichezea Manchester United ya England kwa miaka zaidi ya mitano, ana mengi ya kujivunia akiwa…

Maskini Jose Mourinho!

Kama yalivyomkuta Tim Sherwood wa Aston Villa kwa kutimuliwa, hatari zaidi inamnyemelea Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho, ambaye tangu kuanza kwa msimu huu amekumbwa na balaa la matokeo mabaya katika michezo ya Ligi Kuu England (EPL). Aston Villa wao hawajachelewa…

Dk. Dau: Tanzania itacheza Kombe la Dunia mwaka 2026

Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) linajenga Kituo cha Michezo katika eneo la Kigamboni, Dar es Salaam; huku likisema lengo kuu ni kuhakikisha Tanzania inashiriki Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2026. Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Dk. Ramadhani…

Hayatou kaokota dodo chini ya mwarobaini?

Katika vijiwe na hata maofisini, hakuna aliyewaza hata siku moja kuwa Dk. John Magufuli angeteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania urais wa Tanzania mwaka huu. Kulikuwa na majina makubwa ambako wadau walijaribu kuyapima na kuona kwamba hana nafasi. Sina…