Category: Michezo
PIGO KWA WAKENYA, SPORTPESA YASITISHA UDHAMINI
Kampuni ya mchezo wa kamari nchini Kenya, SportPesa, imesitisha udhamini wake wa michezo kutokana na uamuzi wa serikali kuongeza ushuru hadi asilimia 35 kutoka kwa asilimia 7.5. Akizungumza na waandishi wa habari Jumanne, mkurugenzi mkuu na mwanzilishi wa SportPesa Ronald…
KOMBE LA MAPINDUZI, AZAM YAITANDIKA MWENGE FC 2-0
Mabingwa watetezi wa Kombe la Mapinduzi Azam FC imeanza vyema harakati za kutetea ubingwa wa michuano hiyo baada ya jana usiku kushinda mabao 2-0, timu ya Mwenge FC katika mchezo wa kundi A, uliopigwa uwanja wa Amaan Zanzibar. Kocha wa…
FULL TIME: WEST BROMWICH ALBION VS ARSENAL MATOKEO 1-1
Dakika ya 4: Mchezo umeanza kwa kasi kiasi. Dakika ya 7: west bromwich wanakosa goli, Jay Rodriguez anaunganisha kwa kichwa lakini kipa wa arsenal anadaka Dakika ya 9: Mpira wa kurusha kuelekea upande wa west bromwich. Dakika ya 12: West…
YANGA YAFUNGA MWAKA KWA KIPIGO CHA 2-0 KUTOKA KWA MBAO FC
Yanga leo imefunga mwaka vibaya kwa kukubali kipigo cha mabao 2-0 dhidi ya Mbao fc ya mwanza, mabao yote ya mbao yamefungwa na Habib Aji kwenye dakika ka 52 na 70. kutokana na mchezo huo sasa unaiondoa yanga kwenye orodha…
CRYSTAL PALACE YAIKAZIA MAN CITY
Ligi kuu nchini Uingereza imeendeleaa tena leo kwa mchezo mmoja kati ya Crystal Palce dhidi ya Manchester City, matokeo ya mchezo huo Crystal Palace imefanikiwa kuwakazia Manchester City na kutoka nao sare ya 0 – 0. Katika mchezo huo Crystal…
WALLANCE KARIA APIGA MARUFUKU MASHINDO YASIYOTAMBULIKA NA TFF
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia amefuta mashindano yoyote ya soka yaliyo nje ya mfumo wa shirikisho hilo isipokuwa tu kwa kibali maalum. Karia ameyasema hayo katika Mkutano wake na Wahariri wa vyombo vya habari ambapo amesema…