JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Simba, Yanga zijiandae Kimataifa

Kipenga cha kuashiria kuanza kwa mashindano klabu bingwa barani Afrika kimepulizwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) huku ikuacha kitendawili kwa vilabu vya Tanzania kama vitauvunjwa mwiko wa kuondolewa kwenye mashindano hayo hatua za awali. Wakizungumza na Gazeti…

Ozil, Kutimkia Old Traford

Klabu ya Manchester United ya Uingereza iko mbioni kumuuza mchezaji wake Henrikh Mkhitaryan ili kupata pesa za kumsajili kiungo wa klabu ya Arsenal, Mjerumani Mesut Ozil. Mchezaji huyo anatarajiwa kumaliza mkataba wake ndani ya klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu…

Zanzibar Heroes Yaishangaza Tena Dunia, Baada ya Kuwafumua Uganda 2-1

Timu ya Taifa ya Zanzibar , Zanzibar heroes imezidi kuonyesha maajabu yake kwenye michuano ya CECAFA, baada ya leo kuwatoa mabingwa watetezi Ugnada kufuatia kipigo cha 2-1 na kutinga hatua ya fainal ambapo watakutana na timu ya Taifa ya Kenya….

Simba Inahitaji Zaidi ya Fedha

Mchezo wa soka unahitaji benchi la ufundi lenye watalamu wenye ueledi mkubwa  wenye uwezo wa kuendana na mabadiliko ya soka kadri mda unavyobadilika. Wakizungumza na JAMHURI juu ya mabadiliko yaliyofikiwa na  klabu ya Simba wachezaji wa zamani na watalamu wa…

Pochettino Matatani

Bundi ameanza kulia ndani ya klabu ya Tottenham ya London baada ya kujikuta ikisukumwa nje ya  timu nne za juu (top 4) hadi  kuangukia nafasi ya sita. Baada ya kupata ushindi dhidi ya klabu ya Real Madrid na ushindi wa…

Mohamed Sarah Mchezaji Bora wa Afrika Tuzo za BBC 2017

Mohamed Salah wa Misri amechaguliwa kuwa mshindi wa Tuzo ya BBC kwa Mwanakandanda Bora wa Afrika Mwaka 2017. Nyota huyu wa Liverpool alipata kura nyingi zaidi ya Pierre-Emerick Aubameyang wa Gabon, Naby Keïta wa Guinea, Sadio Mané wa Senegal na…