JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Wenye Man United waikwepa timu yao

Mtendaji mkuu wa zamani wa Manchester United ya England, David Gill ameangalia uwezo wa timu hiyo kwa sasa akatikisa kichwa kisha akasema, “Hawa sio mashetani wekundu ninaowajua.” Bila kutafuna maneno wala kupepesa macho na kutikisa masikio, Gill amesema, “Ninachokiona kwa…

Samatta aibua wanamichezo

Ushindi wa Mtanzania Mbwana Samatta umewafungua vinywa Watanzania na kutaka kiwekwe kwenye Katiba, kifungu kitakachotambua na kuwaenzi wanamichezo watakaoiletea sifa nchi katika kipindi chao chote cha maisha kama wanavyofanyiwa viongozi wa nchi. Wametaka kifungu hicho kiwatambue wanamichezo hao kwa kuwapatia…

Lini atapatikana Samata mwingine

Ahsante Mtanzania Mbwana Samata, nyota wa TP Mazembeya DRC kwa kuchaguliwa kuwa Mwanasoka Bora wa Afrika wa wachezaji wanaokipiga ligi za ndani. Mwaka 2015 umekwisha, mwaka 2016 ndiyo kwanza umeanza na ‘zali’ la Samata, lakini tutapotazama mbele, tuonaona nini? Nani…

Namuona Mourinho akitua Man United

Kwa wasiofahamu ni kwamba Kocha Jose Mourinho mbali ya kuwa na utani wa jadi na Arsene Wenger wa Arsenal, lakini alikuwa na upinzani mkali hasa wa maneno ya karaha na Sir Alex Ferguson, kocha wa zamani  wa Manchester United. Ferguson…

Imetimia nusu karne tangu kifo cha Salum Abdallah

Salumu Abdallah Yazidu (pichani)hatosahaulika kamwe katika ulimwengu wa muziki. Alikuwa mtunzi, mwimbaji wa bendi ya Cuban Marimba iliyokuwa na maskani yake katika mji wa Morogoro.  Wakati wa uhai wake alileta ushindani mkubwa katika muziki wa dansi mjini humo akishindana na…

Bundi atua Man Utd?

Klabu ya Manchester United ya jijini Manchester nchini England imeanza kupasua mioyo ya mashabiki wake baada ya kupata sare tatu mfululizo ndani ya majuma mawili. Man United maarufu kama Mashetani Wekundu ilipata sare nyumbani katika mchezo wa ligi ya mabingwa…