Category: Michezo
LIVERPOOL, TOTTENHAM, CHELSEA YATOA VIPIGO, MAN UNITED YASHIKWA SHARUBU NA BURNLEY
Ligi kuu nchini uingereza iliendelea tena jana kwa mechi kazaa ambapo liverpool imeitandika Swansea City kwa magori 5-o, magaori hayo yalifungwa na Roberto Firmino ambaye alifunga magori mawili dakika 52 na 66 , magoli mengine yalifungwa na Trent Alexander-Arnold alifunga…
TARAKA YAMPONZA MCHEZAJI WA ZAMANI WA ARSENAL, SASA ALALA SAKAFUNI
Kiungo wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Ivory Coast Emmanuel Eboue amepatwa msongo wa mawazo mpaka kufikia hutua ya kutaka kujiua kutokana na hali mbaya inayomkabili katika maisha yake ya sasa. Eboue alikuwa akipokea kiasi kikubwa katika…
Barcelona Yaizalilisha Madrid, Yaitandika Mabao 3-0
KLABU ya Barcelona imeipa kichapo cha bao 3-0 mahasimu wao Real Madrid katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka nchini Hispania, maarufu kama LaLiga Santada. Katika mchezo huo wa kusisimua na ulioshuhudiwa na mamilioni ya watu duniani kote, hadi dakika…
Mohammed ‘Mo’ Dewji Amtaka Omog Kujiuzulu Simba
Kocha Mkuu wa Klabu ya Simba, Joseph Omog ametakiwa kujiuzulu mara moja baada ya timu hiyo kuondolewa mapema katika michuano ya Kombe la Shirikisho (FA) ambalo wao ndio walikuwa mabingwa watetezi. Simba ilifungishwa virago na Green Warriors inayoshiriki ligi daraja…
Kuelekea Elclasico, Ronaldo na Messi Kufungiwa Camera za HD 4K
LEO ni vita ya kufunga mwaka kwenye Ligi Kuu Soka ya Hispania maarufu kama La Liga, amabapo Miamba miwilli ya Soka Duniani Barcelona na Real Madrid kukutana kwenye mchezo wa ligi kuwania point 3 muhimu na kuweza kufunga mwaka kwa…
Arsenal, Liverpool Hakuna Mbabe
Ligi kuu nchini uingereza jana usiku iliendelea kwa kuzikutanisha Arsenal na Liverpool kwenye uwamja wa Emirates, ambapo kulishuhudia wanaume hao wakitunishiana misuli baada ya kufungana mabao 3 kwa 3. Liverpool walikuwa wakwanza kuandika bao lililofungwa na Philippe Coutinho kwenye dakika…