JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

HUYU HAPA KOCHA MPYA WA SIMBA SC

Baada ya kuhangaika huko na kule ikisaka Kocha wa kujaza nafasi ya Joseph Omong kuifundisha simba kwa msimu wa 2017/2018 , hatimaye wekundu wa msimbazi wamelamba dume na kufanikisha kutia sahihi kwa kocha wao mpya,  Pierre Lechantre (miaka 68), raia…

BAADA YA YANGA KUKAZIWA NA MWADUI LEO NI ZAMU YA SIMBA DHIDI SINGIDA UNITED UWANJA UHURU

Wachezaji wa simba wakiwa mazoezini    Kikosi cha Singida United Iktakachozeza na Simba Sc Leo Kikosi cha Simba Timu ya Yanga jana ilitoka sare ya kutokufunga na timu ya Mwadui, na  leo ni zamu ya Simba kukabiliana na timu Singida…

BREAKING NEWS: THEO WALCOT ATUA EVERTON

WINGA wa Arsenal, Theo Walcott amefuzu vipimo vya afya na kukubali dau la kujiunga na Klabu ya Everton. Taarifa zinaeleza, Walcott alionekana jana mchana akiingia kwenye uwanja wa mazoezi wa Everton maarufu kama , Finch Farm na leo amefuzu vipimo….

KIKOSI CHA YANGA KITAKACHOIVAA MWADUI LEO HIKI HAPA

Mabingwa wa tetezi wa ligi kuu soka Tanzania Bara klabu ya Yanga hii leo inatarajia kushuka dimbani tayari kuivaa timu ya Mwadui FC katika mechi ya Vpl itakayo chezwa Uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam. Kuelekea katika mchezo huo…

RONALDINHO GAUCHO ATUNDIKA DALUGA RASMI

NGULI wa soka nchini Brazil ambaye ni mshindi wa tuzo ya mwanasoka bora wa dunia Balon d’Or mwaka 2005, Ronaldo de Assis Moreira maarufu kwa jina la Ronaldinho ametagaza rasmi kustaafu kusakata kabumbu. Kwa mujibu wa BBC, aliyethibitisha kustaafu kwa…

MZEE AKILIMALI:NITAPINGA YANGA KUMILIKIWA NA MTU MMOJA HADI KABURINI

Mwanachama mkongwe wa klabu ya Yanga, Ibrahim Akilimali, amesema kuwa ataendelea kupinga suala la ukodishwaji wa klabu hiyo hadi atakapoingia kaburini. Mzee Akilimali amedai kuwa amekuwa na bahati mbaya kwa baadhi ya wanachama na viongozi wa Klabu ya Yanga kutokana…