Category: Michezo
SANCHEZ KAZINI LEO AKIWA NA UZI WA MAN UNITED
Alexis Sanchez. MANCHESTER United inatarajiwa kuwa uwanjani leo Ijumaa kuivaa Yeovil Town katika raundi ya nne ya Kombe la FA. United itakuwa ugenini kuivaa timu hiyo ya daraja la pili ambapo kuna mambo kadhaa yatakuwa gumzo juu ya mchezo huo….
Jose Mourinho Aongeza Mkataba Manchester United
Kocha Jose Mourinho akipongezana na Ed Woodward (kushoto) baada kuweka wino mpya. Kocha Jose Mourinho sasa ataifundisha Manchester United hadi mwaka 2020. Mourinho raia wa Ureno ameongeza mkataba huo wa miaka mitatu kwa mwaka mmoja zaidi. Pamoja na kwamba mashabiki…
WAZIRI UMMY AIPA SAPOTI KLABU YA AFRICAN SPORTS
Mwakilishi wa MBUNGE wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga (CCM) na Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wazee na watoto Ummy Mwalimu,Khatibu Kilenga kushoto akimkabidhi unga nahodha wa timu ya African Sports ambapo kiongozi huyo alitoa mchele kg100,unga wa sembe kg…
Daktari wa timu ya Olimpiki Marekani Atupwa Jela
Aliyekuwa daktari wa timu ya Olimpiki Larry Nasser amehukumiwa kwenda jela miaka 175 baada ya kukutwa na makosa ya ukatili wa kingono dhidi wananawake na wana michezo. Katika kesi hiyo mashahidi 160 wamewasilisha ushahidi wao huku Nasser mwenyewe alikiri makosa…
CAF YATOA ONYO MICHEZONI
NA MICHAEL SARUNGI Tatizo la rushwa kupenya katika mpira wa miguu limelitikisa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kiasi cha kuamua kufuta posho za waamuzi kulipwa na vyama na mashirikisho Afrika. Sasa posho zao zitalipwa moja kwa moja kutoka CAF kwa waamuzi…
Nyosso Bado Yupo Mikononi Mwa Polisi Kagera
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Agustine Ollomi, amesema hali ya majeruhi anaye fahamika kwa jina la Shabani Hussein, aliyedaiwa kupigwa hadi kuzirai na beki wa Klabu ya Kagera Sugar, Juma Nyoso, bado ni mbaya na yupo mikononi mwa madaktari…