JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

RT yafanya marekebisho ya usimamizi wa mchezo wa riadha nchini

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Mwanza Mkutano maalumu wa marekebisho ya katiba ya Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) umefanyika jijini Mwanza kwa kuhusisha wadau mbalimbali wa michezo na viongozi wa Riadha kutoka mikoa zaidi ya 20 ya Tanzania Bara. Lengo kuu…

Lina PG Tour msimu wa pili yaanza kulindima leo, wachezaji 122 wajitokeza kushiriki

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WACHEZAJI takribani 122 wamejiandikisha kushiriki mashindano ya Lina PG Tour msimu wa pili yanayoanza kutimua vumbi leo katika Viwanja vya gofu vya Gymkhana mkoani Morogoro. Mashindano hayo ambayo kwa mara ya kwanza yalifanyika…

Bondia Matumla kuzichapa na bondia kutoka Namibia Paul Amavila Februari 28

Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia, Dar es Salaam BONDIA Amiri Matumla,anatarajia kupanda ulingoni Februari 28, mwaka huu, kupambana na mpinzani wake kutoka Namibia, Paul Amavila. Akizungumza na Waandishi wa habari Jijini Dar es salaam leo, Feb 25, 2025 na Mkurugenzi wa Mafia…

Serikali, wadau waombwa kusapoti mashindano ya Lina PG Tour

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro SERIKALI wakiwemo wadau mbalimbali wa michezo hasa wa gofu wameombwa kusapoti mashindano ya Lina PG Tour yanayofanyika kila mwaka kwa lengo la kumuenzi mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya wanawake marehemu Lina Nkya….

Waziri Mkuu Majaliwa mgeni rasmi Samia Marathon Mlandizi

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Mbio za Samia Marathon zitakazofanyika Februari 22, 2025, katika viwanja vya Shule ya Mtongani, Mlandizi, Kibaha Vijijini, mkoani Pwani. Mbio hizi zinalenga kuhamasisha wananchi kuhusu umuhimu…

TAKUKURU kuna rushwa kwa waamuzi

Na Andrew Peter, JamhuriMedia, Dar es Salaam Madai na shutuma za waamuzi kuhongwa ni moja ya mambo ya kawaida kuyasikia kila siku katika Ligi Kuu Tanzania Bara, lakini hadi sasa Takukuru haijafanya lolote kuwakamata wahusika. Waamuzi wanalaumiwa kwa kufanya upendeleo…