JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

‘Wametuangusha’

*Wananchi wawatupia lawama wabunge kuhusu tozo kwenye miamala *Wamgeukia Rais wakimuomba atafute namna ya kufanya *Profesa wa uchumi adai ingawa ni ngumu, inawezekana *Wakala M-Pesa: Kuna ‘watu’ wanataka kumkosanisha Mama na wananchi *Simu ya Azzan Zungu yawa yamoto, haipokeleki DODOMA…

Mambo ya Nje haijamchukulia hatua Balozi

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Katika hali ya kushangaza, wiki tatu baada ya JAMHURI kuandika taarifa ya Balozi anayejihusisha na usafirishaji mabinti kwa njia isiyo halali, bado Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa haijachukua hatua yoyote….

Ajuza alea mapacha

*Ni Naomi na Sara ambao walipata majanga siku 11 tu baada ya kuzaliwa *Aishi nao chumba chenye giza, bila huduma ya maji, wala lishe bora *Asema hajawahi kuwa na Bima ya Afya, sembuse watoto hao! BUKOBA Na Phinias Bashaya Naomi…

Hadhari bidhaa za Kariakoo

DAR ES SALAAM Na Aziza Nangwa Moto uliozuka na kuteketeza sehemu kubwa ya Soko la Kariakoo jijini Dar es Salaam huenda ukasababisha athari kadhaa za kiafya kwa Watanzania. Moto huo uliozuka usiku wa Julai 9, mwaka huu, mbali na kuathiri…

Hujuma?

*Mwezi mmoja tu baada ya Rais kutembelea Kariakoo, soko lawaka moto *Ni nembo ya biashara Tanzania, Mashariki na Kusini mwa Afrika  *Alama ya kihistoria tangu ukoloni wa Mjerumani, Mwingereza hadi Uhuru *Ofisa Ilala asema: ‘Nyaraka muhimu zipo salama, nyingine zipo…

Bandari ya Bagamoyo itumike kumuenzi JPM

BAGAMOYO  Na Mwandishi Wetu Kwa kiasi kikubwa nguzo za uchumi wa Kenya, mbali na utalii, ni kupakana kwa taifa hilo na Bahari ya Hindi na kuifanya Bandari ya Mombasa kuwa lango kuu la biashara kimataifa. Miezi michache iliyopita, Rais Uhuru…