JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

DC: Wastaafu msioe watoto, mtakufa 

ARUSHA Na Bryceson Mathias Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Sophia Mjema, amewaasa wastaafu kutotumia mafao watakayopata kuoa watoto wadogo au kuolewa na vijana, akisema watawasababishia kufa kwa kihoro. Sophia ameyasema hayo wakati akifungua semina ya elimu kwa wastaafu watarajiwa zaidi…

Dk. Mpango alikoroga

*Atoa maagizo nje ya mipaka ya Makamu wa Rais kikatiba *Wataalamu wasema kisheria hapaswi kusimamisha kazi watendaji *Warejea tamko la trilioni 2, wataka amheshimu Rais Samia *Wamtahadharisha asitoe matamko ya kiserikali akiwa kanisani Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Makamu…

UNYANYASAJI WA URAIA…  Kwa hiari ninaikabidhi Serikali silaha yangu

NGARA NA MUSHENGEZI NYAMBELE Kwenye Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumteua mgombea urais mwaka 1995, Mwalimu Julius Nyerere alisimulia kilichomtokea New York, Marekani mwaka 1994. Alikaribishwa na Getrude Mongela (wakati huo Katibu wa Mkutano wa kina mama wa…

Mnyeti kama Sabaya

*Alalamikiwa Tume ya Haki za Binadamu *Adaiwa kujiundia tume kinyume cha sheria *Mwenyewe ajitetea kwa kumwaga matusi DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Alexander Mnyeti, analalamikiwa na mfanyabiashara, Dk. Hamis Kibola, katika Tume ya…

Benki ya Kilimo yatoa Sh bilioni 1.15

IRINGA  Na Mwandishi Wetu Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) kwa kushirikiana na Clinton Development Initiative (CDI) imejipanga kutoa mikopo ya Sh bilioni 1.15 kufungua mnyororo wa thamani wa zao la soya mkoani hapa.  Kwa mujibu wa randama ya…

Chanjo ya corona kufufua utalii

DODOMA Na Mwandishi Wetu Serikali imepongezwa kwa kuruhusu chanjo ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya corona (COVID-19), hatua itakayofungua milango katika sekta ya utalii nchini. Sekta hiyo ambayo ni moja ya vyanzo vikuu vya mapato…