Category: Kitaifa
Sabaya aamua kufukua makaburi
ARUSHA Na Hyasinti Mchau Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai ole Sabaya, amedai mbele ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kwamba alikwenda kwenye duka la Shaahid Store kutekeleza maagizo ‘kutoka juu’. Akiongozwa na Wakili Mosses Mahuna wakati…
Vifo vya mabilioni vyatikisa
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Katika siku za hivi karibuni, sekta binafsi na jumuiya ya wafanyabiashara nchini imetikiswa na vifo vya mabilionea vilivyotokea ndani ya wiki moja. Vifo hivyo vinajitokeza kipindi ambacho serikali inaweka mazingira mazuri ya kodi kuvutia…
Adaiwa kuiba misalaba makaburini
KATAVI Na Walter Mguluchuma Polisi mkoani Katavi wanamshikilia mkazi wa Majengo mjini Mpanda, Mashaka Sokoni (28), kwa tuhuma za kukutwa na vipande 35 vya vyuma vya misalaba ya makaburi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Benjamin Kuzaga, amesema Sokoni amekamatwa…
TIC yaanika mafanikio ya uwekezaji
DARE SALAAM Na Aziza Nangwa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) kimesema miradi mipya 235 yenye thamani ya mabilioni ya fedha imesajiliwa katika kipindi cha mwaka 2020/21. Akizungumza jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa TIC, Dk. Maduhu Kazi, anasema miradi…
Zengwe la mafuta
*Masilahi binafsi ya vigogo yatajwa yaongeza bei za dizeli, petroli nchini *Wapandisha usafirishaji kutoka Sh 110,000 hadi Sh 165,000 kwa tani *Rais Samia ambana Waziri, Septemba ashusha usafirishaji hadi Sh 13,000 kwa tani *EWURA yataka maelezo hasara ya Sh milioni…
Kampuni ya Kitanzania ya uwindaji yashinda kinyang’anyiro cha kitalu
DODOMA Na Lusungu Helela, WMU Kampuni ya Kitanzania ya Bushman Hunting Safaris imekuwa ya kwanza kwenye tasnia ya uwindaji wa kitalii nchini kushinda na kukabidhiwa mkataba wa Uwekezaji Mahiri katika Maeneo ya Wanyamapori (SWICA). Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk….