JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Virusi vingine hatari hivi hapa

DAR ES SALAAM Na Aziza Nangwa Wakati dunia ikiendelea na mapambano dhidi ya ugonjwa wa COVID – 19 unaosababishwa na virusi vya corona; virusi vinavyotambulika kama ‘Human Papilloma’ (HPV) vinatajwa kuwa ni hatari kwa binadamu. Mkurugenzi wa Huduma za Kinga…

‘Ajali za kutisha barabarani zimedhibitiwa’

DAR ES SALAAM Na Alex Kazenga Matukio ya ajali za barabarani yakihusisha magari, pikipiki, Bajaj, baiskeli, guta na watembea kwa miguu yamepungua kwa kiwango kikubwa nchini. Akizungumza na JAMHURI katika mahojiano maalumu, Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Kamishina Msaidizi…

RIPOTI UCHAGUZI MKUU Wanasiasa waunga mkono mapendekezo

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemkabidhi Rais Samia Suluhu Hassan Ripoti ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba mwaka jana huku ikiambatanisha mapendekezo kadhaa ili kuimarisha ufanisi wa shughulu zake. Katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini…

Kimewaka CCM

*Mtandao wa ‘mwendazake’ watajwa kumchimba Rais Samia kuelekea 2025 *Ulikusanya mamilioni wakati wa uchaguzi kutoka kwa wagombea ubunge, udiwani *Mfanyabiashara tajiri Kanda ya Ziwa atajwa kushikilia fuko la fedha zilizokusanywa *Mamluki waliounga mkono kushughulikiwa, watajwa kubadilika kulinda masilahi NA MWANDISHI…

Waziri Kalemani atumia kivuli cha ‘maagizo kutoka juu’

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nishati, Medard Kalemani, ametajwa kutumia lugha ya kwamba kuna “maagizo kutoka juu” mara nyingi anapowapa maelekezo watendaji wa wizara yake kuhakikisha mambo yanapitishwa haraka, JAMHURI limeambiwa. JAMHURI limeelezwa kuwa kama si Katibu Mkuu wa Wizara…

Sekretarieti yavujisha mitihani ajira za TRA

DAR ES SALAAM NA DENNIS LUAMBANO Mitihani na majibu ya usaili wa walioomba ajira zilizotangazwa na Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) kwa ajili ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) vimevuja, JAMHURI linathibitisha. PSRS walitangaza ajira hizo Juni…