JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Gwajima, Polepole, Silaa wazidi kubanwa mbavu

DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU Mienendo ya wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Askofu Josephat Gwajima (Kawe), Jerry Silaa (Ukonga) na Humphery Polepole (kuteuliwa) inazidi kumulikwa. Kumulikwa kwa mienendo hiyo hasa kwa Gwajima na Silaa kunatokana na kuadhibiwa Jumanne…

Rais Mwinyi achukua uamuzi mgumu Z’bar

ZANZIBAR Na Mwandishi Wetu Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema serikali imefanya uamuzi mgumu wa kuziuza meli zote za Shirika la Meli la Zanzibar (Shipco). Akizungumza wakati wa majumuisho ya ziara yake…

Hamza pasua kichwa

NA MWANDISHI WETU DAR ES SALAAM Kitendawili cha nini kilichomsukuma Hamza Mohammed kufanya mauaji ya watu wanne na baadaye naye kuuawa kinaendelea kuwa kigumu, baada ya mamlaka inayohusika na magonjwa ya afya ya akili kukana kumtibu. Kitengo cha Magonjwa ya…

Mahabusu: Mahakama zinatutesa

Mahabusu nchini wamelaumu taarifa iliyotolewa hivi karibuni isemayo mashauri yaliyokuwa yamerundikana mahakamani yamemalizika kwa asilimia 98. Katika barua waliyoandika kwa Waziri wa Sheria na Katiba na nakala kwenda kwa Jaji Mkuu, Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Mtendaji Mkuu wa Mahakama…

Mbunge aandaa jimbo lake kujitenga

MWANZA Na Antony Sollo Mbunge wa Jimbo la Sengerama mkoani hapa, Khamis Tabasamu, anawaunganisha wananchi, husasan wakulima wa pamba wa jimbo hilo kujiondoa kutoka Chama Kikuu cha Ushirika cha Nyanza (NCU). Hali hiyo inakuja kama maono ya Tabasama kuwa hiyo…

Mamluki wa CCM wakaliwa kooni

*Mtandao wa kumpinga Rais Samia ‘wafukiziwa moshi’ *Waahirisha vikao vya kupinga chanjo, waanza kuogopana *Askofu Gwajima atwishwa msalaba, Rais Samia aonya 2025 *Katibu Mkuu asema hakuna mkubwa kuliko chama, watajuta Na Mwandishi Wetu, Dodoma Baada ya kuchapisha habari za uwepo…