JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Kilichowaponza mawaziri

*Baadhi waliacha kazi wakawaza urais 2025, Kalemani bei ya mafuta yamponza *Rais Samia aanza kufumua mtandao masilahi, apanga watumishi wa wananchi  *Shibuda: Rais amepata gari la tani 100, magari ya tani tano yampishe *ACT Wazalendo: ‘Rais Samia Suluhu amechelewa kufanya…

NIDA inavyoliwa

*Yakwama kutoa Vitambulisho vya Taifa kwa wakati *Mabilioni ya fedha za tozo yaachwa bila kukusanywa   *Ukarabati wa magari, mitambo haujafanyika bila sababu *Mkuu Kitengo cha Mawasiliano asema: ‘Hatuna majibu’ DAR ES SALAAM NA DENNIS LUAMBANO Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa…

PENTAGON Wizara ya Ulinzi Marekani iliyopitia  misukosuko mbalimbali ya kigaidi

• Ni jengo lenye ofisi nyingi kuliko lolote duniani • Limeenea kwenye eneo la hekta 29 • Hutoa huduma za simu zipatazo maili 100,000 • Posta za jengo hilo hupokea barua zaidi ya 100,000 kila siku  • Ni jengo lenye…

Wafukuzwa kazi kwa mgomo Mwendokasi

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Sinohydro wanaojenga barabara ya mabasi yaendayo haraka kutoka Kariakoo hadi Mbagala wamefukuzwa kazi huku wengine wakirejeshwa licha ya kufanya mgomo wiki iliyopita wakishinikiza kulipwa fedha za usafiri, chakula…

Nimrod Mkono aumizwa

*Nyumba ya Sh bil. 7 inauzwa kulipa Sh mil. 30 *Familia yapambana usiku, mchana kunusuru * Tayari ofisi zake ghorofa 2 zimepigwa mnada NA MWANDISHI WETU DAR ES SALAAM Nyumba ya makazi ya mwanasheria na mwanasiasa nguli nchini, Nimrod Mkono,…

Benki yahukumiwa kwa kumwibia mteja

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Biashara imeiamuru EcobankTanzania Limited kumlipa mteja wake zaidi ya Sh milioni 100 baada ya kukutwa na hatia ya ‘kukwapua’ takriban Sh milioni 66 kutoka kwenye akaunti yake. Hukumu…