Category: Kitaifa
Vigogo 5 wasimamishwa Dar
DAR ES SALAAM NA DENNIS LUAMBANO Vigogo watano wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam wamesimamishwa kazi kupisha uchunguzi wa ufisadi wa mamilioni ya shilingi. Tayari Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imeanza kufanya…
Mnyeti kikaangoni
*Tume ya Haki za Binadamu yabainisha matumizi mabaya ya ofisi *Ashirikiana na mwindaji kuhujumu biashara za mwekezaji *Atuhumiwa kupokea ‘rushwa’ ya visima Uchaguzi Mkuu 2020 *Mwenyewe ang’aka, asema; ‘tusiongee kama wahuni, nendeni mahakamani’ DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Hadhi…
Mkurugenzi NIDA ang’oka
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Hatimaye Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Dk. Arnold Kihaule, ameng’oka katika nafasi yake. Mkurugenzi huyo ameng’oka huku kukiwa na malalamiko ya muda mrefu kutoka kwa watu mbalimbali akiwamo Spika wa…
Polisi wachunguza madai ya Mbunge
MBOGWE Na Antony Sollo Polisi mkoani Geita wameanza uchunguzi wa tuhuma zilizotolewa bungeni wiki chache zilizopita kuwa maofisa madini mkoani hapa wamewaua kikatili watu sita. Tuhuma hizo zilitolewa bungeni jijini Dodoma na Mbunge wa Mbogwe, Nicodemus Maganga, akidai kuwa mmoja…
Benki yamfitini Mzanzibari
*Ilikataa kumwongezea mshahara, akaomba kazi CRDB akapata *Ilipobaini amepata kazi ikaahidi kumlipa mara mbili asihamie huko *Alielekea kukubali, akabaini ni danganya toto, akathibitisha kuondoka *Utawala wakafanya mbinu, wakamfukuza kazi kwa kosa la kusingiziwa Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Benki moja kubwa…
Membe apigilia msumari
‘Katiba mpya, mgombea binafsi havikwepeki’ DAR ES SALAAM NA DENNIS LUAMBANO Kachero mbobezi, Bernard Membe, anasema hakuna wafanyabiashara walioumizwa na Serikali ya Awamu ya Nne ikilinganishwa na Serikali ya Awamu ya Tano. Anazungumzia mwenendo wa utawala wa Awamu ya Nne…