JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Lowassa amkingia kifua Rais Samia

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amesema anakerwa na baadhi ya wanasiasa wanaoeneza maneno ya chuki, kupalilia uhasama na kumtupia lawama zisizomhusu Rais Samia Suluhu Hassan. Kutokana na mwenendo huo, amewataka wajue kuwa wanashiriki…

Makamba na ‘uchungu wa mimba’ ya TANESCO

Waziri wa Nishati, January Makamba, Septemba 17, mwaka huu alizungumza na watendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) jijini Dar es Salaam. Ziara hiyo, pamoja na mambo mengine, ilisukumwa zaidi na tatizo sugu la kukatika umeme nchini mara kwa mara…

Pazia urais 2025 lafungwa

*Ameamua kuvunja kikombe, wenye nia na urais wasubiri hadi 2030 *Queen Sendiga: Wanawake tukikosea 2025 tutasubiri kwa miaka 100 *Dorothy Semu ataka kwanza awajengee wanawake uwezo kiuongozi DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Wakati ndoto za kugombea urais mwaka 2025…

Polisi walikoroga

NA MWANDISHI WETU SHINYANGA Shinikizo linawekwa kwa Jeshi la Polisi Wilaya ya Bukombe mkoani Shinyanga kumchukulia hatua za kisheria mwalimu anayetuhumiwa kumuua mkewe ambaye pia ni mwalimu, kisha ‘kuigiza’ kuwa amejinyonga. Katika kibali cha mazishi, inathibitishwa kuwa chanzo cha kifo…

Rais Mwinyi: Tunadhibiti wizi wa fedha za umma

UNGUJA Na Mwandishi Wetu Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema hatua za serikali zinazochukuliwa dhidi ya wizi wa fedha za umma ni juhudi za makusudi katika kuhakikisha zinapokusanywa zinawafaidisha walio wengi badala…

Amuua mama, atoweka na mtoto

SHINYANGA Na Antony Sollo Mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Rahim Mwita mkazi wa Sarawe mkoani hapa, anadaiwa kumuua mkewe, Monica Lucas, kisha kutokomea kusikojulikana na mtoto wa mama huyo ajulikanaye kwa jina la Prince. Ndugu wa mama huyo, Mabula…