JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Kalleiya ahimiza kuunda kamati za uchuni kata,matawi kujiimarisha kiuchumi

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Katibu wa CCM Wilaya Kibaha Mjini , mkoani Pwani, Issack Kalleiya amehimiza kuunda kamati za uchumi kila kata na matawi pamoja na kuanzisha vitenga uchumi ili kukiimarisha kiuchumi. Wito huo aliutoa alipokuwa kata ya Kongowe…

Makamu wa Rais atembelea ujenzi wa ofisi za CCM Micheweni

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi ambaye ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ametembelea ujenzi wa ofisi za Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini…

Waziri Riziki : Wanawake Tanzania wamewezeshwa manunuzi ya umma kielektroniki

Na Salma Lusangi, JakhuriMexia, New York Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Riziki Pembe Juma amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewawezesha wanawake kupata fursa za manunuzi ya umma kwa kutoa mafunzo ya kiufundi ili…