JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Gambo lawamani

*Baraza la Madiwani Arusha, Mkurugenzi, Mbunge kila mtu na lake *Doita: Mbunge au diwani kutoa maelekezo nje ya vikao ni uchochezi *RC, TCCIA wasema kazi inaendelea, wakagua maeneo mapya ya wamachinga ARUSHA Na Mwandishi Wetu Utekelezaji wa agizo la Rais…

Wananchi wadhulumiwa ardhi yao na mwekezaji

• Wachomewa  nyumba, waibiwa vitu  • Polisi wahusika kusimamia uchomaji nyumba KIBAHA Na Mwandishi Wetu  Wananchi wa Lupunga, Kibaha mkoani Pwani, wameuomba uongozi wa wilaya kuingilia kati kutatua mgogoro kati yao na mwekezaji mwenye asili ya Uarabuni kabla damu haijamwagika….

Bukoba wapinga kuanzisha mkoa wa Chato

*Waeleza ilivyojinyofoa Mkoa wa Kagera mwaka 2005 *Wataka Geita ibadilishwe jina iitwe Chato kumaliza kazi Na Mwandishi Wetu, Bukoba Wabunge na wazee wa Mkoa wa Kagera wamepinga kuanzishwa Mkoa mpya wa Chato kwa kumega wilaya za Bihalamulo, Ngara na kata…

RC ataka utafiti matumizi ya ‘salfa’

TABORA Na Tiganya Vincent Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Balozi Dk. Batilda Buriani, amezitaka taasisi za utafiti wa wadudu kuchunguza matumizi ya salfa (sulfur) wakati wa kunyunyuzia mikorosho kama haina athari kwenye ufugaji nyuki. Amesema ni muhimu ili makundi ya…

Dk. Ashatu awatia matumaini wahariri

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Wiki iliyopita wahariri, wamiliki wa vyombo vya habari na waandishi waandamizi walikutana na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dk. Ashatu Kijaji, katika kikao maalumu cha kufahamiana. Mambo kadhaa yalijadiliwa kuhusu wizara hiyo,…

Serikali yamwaga ajira

*Wananchi kadhaa walia kuwapo dalili za ubaguzi *Mmoja adai kigezo cha kupitia JKT kinaumiza *Mbunge: Sababu ni Serikali kukosa mfumo imara DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU Serikali imetangaza ajira takriban 1,450 kwa vijana kwa ajili ya kujaza nafasi kwenye…