JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Afya ya Rais Sambi yadhoofu

#Anyimwa chanjo UVIKO-19, wananchi walalamika # Miaka 3 na nusu amefungiwa chumbani kizuizini #Aililia Tanzania, jumuiya ya kimataifa wamsaidie NA MWANDISHI WETU DAR ES SALAAM Afya ya aliyekuwa Rais wa Muungano wa Visiwa vya Comoro, Ahmed Abdallah Mohamed Sambi, anayeteswa…

Moto wa ujangili wawaka Arusha

*DPP kupitia jalada la kesi aliyobambikiwa mwandishi *Serikali yaingia kazini Na Mwandishi Wetu, Arusha Baada ya Gazeti hili, JAMHURI, la uchunguzi kuchapisha kuhusu kuibua ujangili unaofanywa na mfanyabiashara mwenye asili ya Kiarabu, Saleh Salim Al Amry na baadaye kulalamika kuwa…

Defao alipaswa kuwa Dar siku aliyokufa

TABORA Na Moshy Kiyungi Wiki mbili tu baada ya Gazeti la JAMHURI kuandika maisha ya mkongwe wa muziki wa Afrika na raia wa DRC, Lulendo Matumona, maarufu Le Jenerali Defao, taarifa zikasambazwa kuwa amefariki dunia. Katika toleo la gazeti hili…

Dk. Biteko ageuka mbogo

KAHAMA Na Antony Sollo Waziri wa Madini, Dk. Dotto Biteko, ameagiza kusimamishwa kazi maofisa saba wa madini wa mikoa mbalimbali kutokana na utovu wa nidhamu. Akizungumza na wafanyabiashara wa madini wa Kanda ya Ziwa mjini hapa, Dk. Biteko amesema wapo…

Waziri Mkuu anena


RUANGWA Na Deodatus Balile Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa Majaliwa, amevunja ukimya dhidi ya watu wanaomsakama mitandaoni wakidai anataka kugombea urais mwaka 2025, akiwataja kuwa watu hao wana nia ya kumchafua na kuvuruga utulivu na kasi…

TAKUKURU wambambikia kesi mwandishi

*Watumia taarifa walizopewa na JAMHURI kutaka kuuzima ukweli *Kamanda wa TAKUKURU Arusha amchuuza Mhariri, amlengesha *Ashiriki ubambikiaji kesi huku mtuhumiwa akitamba kuiweka mfukoni Serikali *Naibu Mkurugenzi Mkuu bila kusikiliza asema kesi iendelee, ni jinai ARUSHA Na Mwandishi Wetu Katika hali…