JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Mamlaka za nchi iokoeni Ngorongoro

Mwaka mmoja uliopita tulichapisha makala hii ya aliyekuwa mmoja wa wakurugenzi wa JAMHURI, Mkinga Mkinga – akishawishi mamlaka za nchi ziinusuru Ngorongoro. Maandishi yake yameendelea kuwa muhimu hasa wakati huu ambao tishio la kuiangamiza hifadhi hiyo ya kipekee duniani likiongezeka….

Rais Azali awekewa ngumu

*Wapinzani sasa waweka masharti *Mwakilishi UN amtembelea Sambi NA MWANDISHI WETU Utawala wa Rais Azali Assoumani wa Muungano wa Visiwa vya Comoro unazidi kubanwa kutokana na hatua yake ya kumweka kizuizini Rais mstaafu wa nchi hiyo, Ahmed Mohamed Sambi. Sambi…

Kamishna Mwakilema asisitiza umakini

ARUSHA NA MWANDISHI MAALUMU Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), William Mwakilema, ameagiza bajeti ya mwaka wa fedha wa 2022/2023 iandaliwe kwa umakini unaozingatia malengo makuu ya taifa. Kadhalika, amesisitiza uandaaji wa bajeti hiyo sharti…

Balaa Muhimbili

*Hospitali yakumbwa na upungufu mkubwa wa damu salama, wagonjwa hatarini *Ikiomba chupa 150 kutoka Mpango wa Damu Salama, inapewa 12 kwa siku *Mkurugenzi aomba Watanzania kuacha kasumba ya kuogopa kuchangia damu *Tatizo limeanzishwa na Wizara ya Afya kuagiza wagonjwa wawekewe…

RPC apuuza amri ya mahakama

Dar es Salaam Na Alex Kazenga Kamanda wa Polisi Mkoa wa kipolisi (RPC) Ilala, Deborah Magiligimba, anadaiwa kupuuza amri ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, JAMHURI linataarifu. Inadaiwa kuwa Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi imemuandikia barua RPC kumtaka…

Rais Samia, TANROADS okoa watu Dar – Morogoro

Na Deodatus Balile Wiki iliyopita nimesoma habari ya kuanza kwa mchakato wa ujenzi wa njia nne katika Barabara ya Morogoro. Ujenzi huu unaelezwa kuwa utaanzia Kibaha Maili Moja hadi Morogoro kwa urefu wa kilomita 158. Taarifa hizi zimetolewa na Mkuu…