JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Kuna mkono wa Kenya  mgogoro wa Loliondo

*Wakenya wajipenyeza hadi ndani ya CCM na kushinda udiwani wakati si raia *Maslahi binafsi yatawala, wafikia hatua ya kumkashifu Waziri Mkuu hadharani *Waamini wao ndio wenye turufu kuamua nani awe Waziri wa Maliasili Tanzania *Seneta wa Narok aishambulia Tanzania bungeni…

Wasabato wang’aka, wakataa porojo za ubadhirifu

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Baada ya Katibu Mkuu wa Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania, Jimbo Kuu la Kusini, Mchungaji Dk. Rabson Nkoko, kusema hakuna mgogoro wowote wa fedha unaofukuta, washiriki wengine wameibuka na kumtaka ajitokeze tena hadharani kueleza…

Rekodi ugenini kikwazo Simba

Dar es Salaam Na Andrew Peter Rekodi ya Simba katika mechi za ugenini ni kikwazo pekee kwa mabingwa hao wa Ligi Kuu Tanzania Bara katika kutimiza ndoto ya kucheza nusu fainali na hatimaye fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Kwa…

MIAKA 100 MWALIMU NYERERE Nini cha kukumbuka?

DAR ES SALAAM Na Dk. Felician Kilahama  Nichukue fursa hii kwanza kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa mambo mengi anayotutendea siku hata siku, ikiwa ni pamoja na zawadi ya uhai; hivyo kila mwenye pumzi na amsifu Mungu.  Tunapomkumbuka Baba wa Taifa Mwalimu…

Utaratibu kununua ardhi ambayo haijasajiliwa

Na Bashir Yakub 1. Mjue mtu anayekuuzia. Na hapa unapaswa kujitahidi kumjua sana, wanasema kumchimba. Unaweza kumjua kwa kuuliza majirani, kupitia aliyekutambulisha kwake na namna nyingine yoyote itakayokuwezesha kumjua zaidi. Lakini pia hakikisha unajua makazi yake. 2. Onyeshwa ardhi na…

Sensa kufanyika kidijitali

Zanzibar Na Mwandishi Wetu Rais Samia Suluhu Hassan amezindua nembo na tarehe ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022. Uzinduzi huo ulifanyika Aprili 8, mwaka huu katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip, Zanzibar ambapo Rais alitangaza kuwa…