Category: Kitaifa
Gari la Katibu Mkuu TALGWU kimeo
*Limenunuliwa kwa Sh milioni 180 *Lilipokatiwa bima nyaraka inaonyesha limenunuliwa kwa Sh milioni 70 DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Gari analolitumia Katibu Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa (TALGWU) Taifa, Rashid Mtima, kwa ajili ya shughuli…
Bosi NMB ashinda tuzo Afrika
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna, amepewa tuzo ya CEO Bora wa Mwaka 2022 kwa Benki za Afrika. Mwanamke huyo raia wa Tanzania ametunukiwa tuzo hiyo wakati wa sherehe maalumu…
Mkandarasi mwendokasi pasua kichwa
DODOMA Na Mwandishi Wetu Mbunge wa Ukonga (CCM), Jerry Silaa, amelia bungeni wakati akihoji kwa nini Kampuni ya Syno Hydro inapewa zabuni za kujenga miradi mbalimbali ukiwamo wa barabara ya mwendokasi kutoka Kariakoo hadi Gongo la Mboto jijini Dar es…
Uchakavu waitesa Hoteli ya Bahari Beach
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Hali ya hoteli ya kitalii yenye hadhi ya nyota tano inayomilikiwa na Serikali ya Libya, Bahari Beach Ledger Plaza, ni mbaya kiasi cha kuibua migogoro ya mara kwa mara kati ya uongozi na wafanyakazi….
‘Ifumuliwe’
*Wadau wadai sekta ya uvuvi nchini imeoza *Wasema kuna mtandao wa mapapa unaofadhili uvuvi haramu *Wamwomba Waziri Mashimba Ndaki kuifumua sekta nzima *Mwenyewe atangaza vita, operesheni maalumu yaanza Dar es Salaam Na Alex Kazenga Wadau wa uvuvi nchini wameiomba serikali…
Utata ununuzi magari TALGWU
*Fedha za gari la Katibu Mkuu zilitosha kununua jipya lakini likanunuliwa la mtumba *Lakutwa lina kadi mbili zikionyesha limetengenezwa mwaka 2015 na kusajiliwa mwaka 2014 *Katibu Mkuu asema hakumbuki mchakato wa ununuzi ulivyofanyika *Asema wananunua magari ya mtumba kwa sababu…