Category: Kitaifa
Waziri Dk. Mwigulu epuka kodi za kero
Na Deodatus Balile, Dodoma Wiki iliyopita nilikuwa katika Ukumbi wa Bunge. Nilimsikiliza kwa umakini mkubwa Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba, wakati anawasilisha bajeti ya wizara yake. Dk. Mwigulu alieleza kuhusu maeneo mengi hasa kilimo kwa ufasaha mkubwa…
BAJETI 2022/23 Mhadhiri: Tujipange kwa Sh trilioni 20 tu
*Wananchi waomba kodi ya kichwa isirejeshwe DAR ES SLAAM Na Mwandishi Wetu Bajeti Kuu ya Serikali iliyosomwa bungeni jijini Dodoma wiki iliyopita imezua mjadala karibu kila kona ya nchi, ikipongezwa katika maeneo mengi, lakini pia serikali ikiombwa kutoa ufafanuzi hapa…
Treni, mabehewa SGR ni mitumba
*Ni tofauti na tambo za awali za TRC kuwa wangeleta injini, mabehewa mapya kutoka kiwandani *Ukarabati, utiaji nakshi mabehewa chakavu haujakamilika; TRC, mzabuni waingia kwenye mgogoro wa malipo NA MANYERERE JACKTON DAR ES SALAAM Injini na mabehewa ya treni vilivyoagizwa…
Mbatia azidi kubanwa mikoani
KATAVI Na Walter Mguluchuma Chama cha NCCR-Mageuzi mkoani hapa kimeunga mkono maazimio ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama hicho kumsimamisha uenyekiti James Mbatia na makamu wake, Angelina Mtahiwa. Akitoa tamko la chama la mkoa, Kamishna wa NCCR Mkoa wa…
BARUA KWA RAIS Mahabusu: Kisutu Extended inatutesa
Ndugu Mhariri, tunaomba nafasi japo ndogo katika gazeti lako tukufu ili Rais Samia Suluhu Hassan na watendaji wake wafahamu yanayotusibu. Malalamiko yetu ni ya kukaa gerezani kwa muda mrefu katika kesi za mauaji zilizopo Mahakama Kuu upande wa Kisutu Extended…
Wadau wataka maboresho Sheria ya Habari
Na Alex Kazenga Dar es Salaam Wadau wa tasnia ya habari wanaiomba serikali kuitazama upya Sheria ya Habari huku wakipendekeza kuwapo kwa chombo kitakachosimamia tasnia hiyo. Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, amebainisha hayo hivi karibuni katika…