Category: Kitaifa
Tanzania kutumia fursa za uwekezaji kutoka benki ya Afrexim
Na Peter Haule,JamhuriMedia,Dodoma Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Lameck Nchemba amemuahidi Rais wa Benki ya Afrexim kuongeza mtaji wa ziada katika Benki hiyo ambayo Tanzania inamiliki hisa ili iwe na wigo mpana wa kuendelea kupata rasilimali fedha kwa ajili…
Jaji Mkuu:Wadau msibaki nyuma safari ya Mahakama Mtandao
Magreth Kinabo na Mary Gwera,JamhuriMedia Jaji Mkuu wa Tanzania,Prof. Ibrahim Hamis Juma amesema kwamba wadau wa Mahakama ya Tanzania wasibaki nyuma katika matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) wakati huu Mahakama inapoelekea kwenye Mahakama mtandao ‘e-Judiciary’. Akizungumza na…
Matajiri ‘wategesha bomu’ Nyamongo
*Likilipuka litaufilisi mgodi, litawaachia wananchi umaskini * Wengi wao ni kutoka Dar es Salaam, Mwanza *Serikali yaombwa kuingilia, kuzuia hali ya hatari TARIME Na Mwandishi Wetu Wakati serikali ikifanya jitihada kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji kwa manufaa ya wananchi, baadhi…