JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

NMB yamwaga neema shule tano Temeke

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar BENKI ya NMB imekabidhi msaada wa vifaa mbali mbali vyenye thamani ya milioni 39 kwa shule tano za Temeke huku iksisitiza dhamira yake ya kuendelea kusaidia mipango ya maendeleo ya sekta ya elimu nchini kote. Vifaa…

Gari la shule laua wanafunzi 8, Rais Samia atoa pole

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Mtwara RAIS Samia Suluhu Hassan amesikitishwa na taarifa ja ajali iliyosababisha watu 10 kupoteza maisha baada ya gari la shule kutumbukia shimoni. Ajali hiyo imetokea leo baada ya gari lenye namba za usajili T 207 CTS Mali…

Tanzania yafikia asilimia 37 ya uchanjaji UVIKO-19

Na Catherine Sungura,JamhuriMedia,Tanga HADI kufikia Julai 18, 2022 jumla ya wananchi milioni 11.5 sawa na asilimia 37 ya watu wenye umri wa miaka 18 na kuendelea wamepata chanjo kamili ya UVIKO-19 hapa nchini. Hayo yamebainishwa jana na Waziri wa Afya…

Waziri Mulamula aongoza ujumbe mkutano wa 24 SADC

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Liberata Mulamula ameongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa 24 wa Kawaida wa Kamati ya Mawaziri wa Asasi ya Ushirikiano katika masuala ya Siasa, Ulinzi na Usalama wa…

Rais Samia amwapisha IGP Wambura

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameunda Kamati na Sekretarieti zitakazoshauri namna ya kuleta mabadiliko ya utendaji kazi wenye matokeo bora katika vyombo vya utendaji haki. Rais Samia amesema hayo katika hafla ya uapisho wa Viongozi…