JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Tanzania,Namibia zaweka mikakati ya kukuza sekta ya biashara

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Balozi wa Namibia Nchini Tanzania Lebbius Tangeni Tobias,amefanya ziara rasmi ya kikazi katika Chemba ya Biashra, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA), na kupokelewa na mwenyeji wake Rais wa Chemba hiyo, Paul Koyi katika ofisi za Makao Makuu…

Tanzania, Zambia kushirikiana katika kukuza kibiashara

Tanzania na Zambia zimekubaliana kuendelea kushirikiana katika kuibua fursa za biashara na kutatua mara moja changamoto zilizopo na zitakazojitokeza katika uwekezaji na biashara ili kukuza biashara na uwekezaji baina ya nchi hizo mbili. Hayo yamesemwa na Waziri wa Uwekezaji, Viwanda…

Majaliwa: Tutaendelea kuondoa changamkto sekta ya nishati

Majaliwa: Tutaendelea kuondoa changamkto sekta ya nishati WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan itaendelea kusimamia kikamilifu sekta ya nishati nchini ili kuondoa changamoto mbalimbali zitokanazo na sekta hiyo….

Ujumbe Benki ya Dunia wakagua maendeleo ya mradi wa Tanzania ya kidijitali

UJUMBE wa Benki ya Dunia umetembelea Ofisi za Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, zilizopo jijini Dodoma na kufanya mazungumzo na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Bw. Mulembwa Munaku kuhusu maendeleo ya utekelezaji wa Mradi wa Tanzania…

Bei ya petroli, dizeli yaendelea kupaa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Bei ya mafuta nchini Tanzania, imepanda tena mwezi huu na kuivuka ile ya Julai 2022 ambapo petroli imepanda kwa Sh.190 kwa kila lita na Sh179 kwa kila lita ya dizeli huku mafuta ya taa yakipanda kwa Sh323…