Category: Kitaifa
Rais awataka wana-Iringa kuongeza usimamizi masuala ya lishe
Na Englibert Kayombo,JamhuriMedia,Iringa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewataka wazazi katika Mkoa wa Iringa kuongeza usimamizi katika masuala ya lishe bora kwa watoto ili kuwa na watoto wenye afya bora pamoja na rasilimali endelevu kwa…
Waziri Mchengerwa aipa kibarua BASATA
Na John Mapepele,JamhuriMedia Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo,Mohamed Mchengerwa ameliagiza Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kupitia upya kanuni kwa kuwashirikisha wadau wote wa Sanaa nchini Tanzania ili ziweze kuainisha bayana mfumo mzuri wa ufanyaji kazi unaowashirikisha wasanii binafsi,…
Balozi Fatma ateta na ujumbe wa Saudi Arabia
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Balozi Fatma Rajab amekutana kwa mazungumzo na ujumbe wa wataalam kutoka Wizara ya Mazingira, Maji na Kilimo ya Saudi Arabia ambao upo nchini kwa ziara…
Diplomasia ya kiuchumi ya Rais Samia yaing’arisha Tanzania
Na Mathias Canal,JamhuriMedia,Mbeya Diplomasia ya kiuchumi iliyofanywa na inayoendelea kufanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ndani na nje ya nchi imesaidia upatikanaji wa Dola za Marekani Milioni 925 kuboresha miundombinu ya elimu. Waziri wa…