JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Makamba akabidhiwa uenyekiti Mradi wa Rusumo wa kuzalisha umeme

Waziri wa Nishati,January Makamba, amekabidhiwa Uwenyekiti wa Baraza la Mawaziri wa Mradi wa Umeme wa Rusumo wa kuzalisha umeme kwa kutumia maji unaoshirikisha nchi tatu za Burundi, Rwanda na Tanzania. Waziri Makamba amekabidhiwa jukumu hilo wakati wa Mkutano wa 14…