Category: Kitaifa
Makamba akabidhiwa uenyekiti Mradi wa Rusumo wa kuzalisha umeme
Waziri wa Nishati,January Makamba, amekabidhiwa Uwenyekiti wa Baraza la Mawaziri wa Mradi wa Umeme wa Rusumo wa kuzalisha umeme kwa kutumia maji unaoshirikisha nchi tatu za Burundi, Rwanda na Tanzania. Waziri Makamba amekabidhiwa jukumu hilo wakati wa Mkutano wa 14…