Category: Kitaifa
Waziri wa Mambo ya Nje Iran awasili Tanzania
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran,Amir Abdollahian aliwasili nchini jana usiku kwa ziara ya kikazi ya siku tatu na kupokelewa na mwenyeji wake, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata…
Serikali kuja na mpango ufugaji nyuki wa manzuki
Serikali imejipanga kuja na mpango wa ufugaji nyuki ujulikanao kama Manzuki ambapo nyuki watakuwa wanafugwa katika eneo maalum bila kuathiri uhifadhi. Hayo yamesemwa leo na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja (Mb) alipokuwa akizungumza na wananchi wa Kata…
Tanzania kupokea balozi wa amani duniani
Na Grace Semfuko,JamhuriMedia Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi amesema Tanzania inatarajia kuwa mwenyeji wa ujio wa Balozi wa Amani Duniani na Kiongozi wa kidini kutoka nchini India Bw. Gurudev Sri Sri Ravi Shankar…